Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Siku zote nilidhani Waislamu wanawekewa sehemu za kuswali airport kwa sababu wanaogopa kupanda ndege kuliko Wakristo!😀Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.
Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
Wewe kila anachofanya Makonda hujawahi kukikubali achana nae tu ila pia ni wazo zuri!Hapo aliongea ili mradi asikike ameongea, ametoa boko kabisa.
Kabisa na inatakiwa inandikwe Airport Chapple kwa ajili ya wakristo kufanya sala na kutafakari mambo yao binafsi! Sema ndugu zetu wao wanajua haki hiyo ni yakwao tu!Prayer room kwa mweny imani yake anaweza kuingia akasoma hata biblia kwa utulivu ...Naona wzo zuri kabisa.
Kwanza ilibidi wasiweke chochote kile cha kanisa wala msikitin ........kila mtu akifika apande ndege asepe.....Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.
Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g
Sadist! I see nothing wrong with his opinion!Ibada zetu zinaongozwa na yaliyomo kwenye vitabu vyetu vitakatifu. Waislam wanaswali mara 5 kwa siku na swala zao hizo ni fupifupi tu dk 5 wakati anasubiri au anashuka kwenye ndege. Wakristo huwa wanasali siku za jumapili au jmosi tu, hivyo huhitaji kuweka kanisa ndani ya airport hapo ambalo halitatumika. sio kila kitu kinahitaji kubalance.
Tuache viwango vya kimataifa vitumike, na tuwaache wahandisi na michoro na ramani ifanye kazi, vinginevyo hakuna siasa hapo kwenye kila kitu
View: https://www.youtube.com/watch?v=IHztQrYAF0g
Yes hii video ni ya zamani siku alipokuja kureport kituo Cha kazi...Leo pale alienda tu kukagua MRADI..siku aliyowasili Arusha ilipostiwa Huku modes wakafutaMbona kama video ya zamani
Huyo jamaa enzi za Dr. Shika alijifanya eti ni mpelelezi aliyekuwa Russia ha ha ha🙂Kakausha kama hayupo
Jasusi hajisemiHuyo jamaa enzi za Dr. Shika alijifanya eti ni mpelelezi aliyekuwa Russia ha ha ha🙂
Sasa unaombaje hivo😂😂Safi kabisa,ujue nakupenda ,Fanya tuonane unipe penzi jamani
Sasa niombe vipi!? Hiyo ndo njia sahihi,nipe basiSasa unaombaje hivo😂😂
R.I.P Ben SananeKiki za kijinga.
Tafuta hiki kitabuSasa niombe vipi!? Hiyo ndo njia sahihi,nipe basi
Wegine wanamu-admire Lissu, ni uamuzi tu🙂Kuna watu wanamu-admire Makonda!…
SawaTafuta hiki kitabuView attachment 3071757