Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Mimi kwa hili bado ni Tomaso.
Ila kama ni kweli goti langu limepigwa nitainua mikono yangu juu kuelekea mbingini niseme;
"ASANTE YESU"
BUSHIRI HUKO SUDANI ALIKUTWA NA US DOLLAR MIL 133. Tusipo amini katika mambo yaliyotuzunguka hakika hatutathibitika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kesho kutwa lazma kuna clip zitavuja.. Zitavuja Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna lolote wenye maamuzi ni watz tu wasio hao mabeberu na wasaliti
CCM wakienda kuomba misaada huwaita wazungu ni wafadhili lakini hao hao wazungu wakikataa udikiteta wa CCM hukimbilia kuwaita mabeberu
 
Amka wewe acha kuota saa hizi. Unalalaje unajisahau unaota mandoto ya hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wamechelewa sana BASHITE katuumiza watanganyika sana.
Kila nikimuangalia Magufuli nashindwa kumuelewa kabisa, ubabe wake wote amekua Rais DHAIFU kwa hiki kiumbe.
La moja, Ni ndege wenye bawa moja, warukao pamoja!!!
 
Wataalam..tueleweshane kidogo. Nimepitia baadhi ya comments za hii post nimepata maswali kadhaa.

P Makonda kuzuiliwa kwenda US ina ina impact kwa TZ kama nchi au kwa Paul himself?

Kwa WaTZ wanao support hio adhabu ya mtu alie temper na huma rights.. wakitaja uonevu..kuminya democracy etc (as guesses maana pompeo hajawa specific), "wako tayari hayo yanayoshutumiwa kufanyika yawe rectified plus other things kama gay & lesbian rights ziwe practiced in TZ?.."

Maana kwao US human rights sio kuruhusu democracy tu.. sijui uhuru wa kujieleza.. kwao it also comes with rights to be anything you want.. including gay and lesbian.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I concur,jamaa alishawahi hadi kumdindia PM kwny ile inshu ya Shisha hapo nilianza kumuelewa vzr.

Ofcourse DAB ni zaidi ya tumuonavyo..thats' obvious
Ni vile tu hatujafunuliwa what he is really capable of

dodge
 
Asante mabeberu,Sasa Tz inafuatiliwa kwa kina sana na hawa mnaowaita mabeberu huu uchaguzi wa mwaka huu ccm wkicheza rafu tujiandae kuingia Zimbabwe direct maana naona donor countries wameamua,ukiona Marekani kafanya hivyo ujue washirika wake wanafuata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…