Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Sasa wewe utaendelea kupesti huu ujinga wako hadi saa ngapi??!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We bwana we acha maneno mengi huu utawala wa jiwe ni utawala wa wauaji tupu
Sawa, Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
Ndo maana yule mtot wako wa kiume tunamfukua mtaro kumbe unafurahia kwasababu ni uhuru wake ok sawa ngoja tumuendelezee moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am happy to see you once again!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ni jukumu letu kuungana na kukemea utawala wa kikatili wa Magufuli kabla mabeberu hawajapata sababu ya kutuvuruga...

Watu ndani ya nchi yetu tunaishi kama wakimbizi, wenye haki ya kuishi kwa uhuru ni wana CCM tu..

CCM wanakusanyika kila wanapojisikia upinzani wakikusanyika wanapewa kesi za uhujumu uchumi...

tuna Ndugu kibao wako mahabush wengine nje kwa kesi mbalimbali za kijinga na uonevu.

Tanzania ni yetu sote sio ya kikundi cha watu wachache.!
 
Wewe ndyo umeandka ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo yote majibu unayo na yako wazi, kudominate na kucontrol watu wengine kwa maslahi yako unaona ni kitu kizuri sio? Hata akituambia tuzibuane marinda sisi tufuate tu, ndio control unayoitaka? Anyway;
Sawa, Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
Safi sana, kumbe bado kuna watu wanaakili kichwani.
 
Kama vipi wangeongeza haraka orodha ya hawa viongozi wa shetani ili kuwaalert kidogo kuwa hawana nguvu kiasi cha wanavyodhani
 
Ujui lolote kuhusu ujasusi funga mdomo wako, wewe unarushiana maneno na ndugu yako kila mtu anaona ndugu yako akiuawa hakuna atakae kuelewa, wenye nia na kuinyonya nchi yetu na kuona flani ni kizuizi ataingilia ugomvi wenu kimya kimya na kumuua mmoja mmoja akose pa kujitetea,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matusi hayatakusaidia kwa hali yoyote,just tell us who shooted Tundu Lissu,who killed Ben Saanane,who killed Commander Mawazo?
So many innocent people had lost in a very misterious way!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paul Makonda ndiyo aliwaweka ndani hao ndugu zako wa uamsho?

Trump juzi kamuua nduguyo Soleimani umesahau tayari?
 
Issue ya Khashoggi sababu Saudi Ni permanent ally wa US pale middle East so akimpoteza ina madhara makubwa kuliko kifo cha mtu mmoja. Hata zenji hawakuweza vunja muungano kisa tu TANESCO ilitaka kuwakatia umeme!! Kuna tolerance levels. Na unaweza ona Saudia imebadilika sana leo hii wanawake wanaendesha gari,kuangalia mechi za mpira n.k hizo reforms zilikua imposed na marekani kwahiyo flaw moja haiwezi ingiza vitani.

Narudia tena sio kila nchi unaingia kwa minajiri ya kupata mafuta mingine ni maeneo ya kimkakati na kutafuta ushawishi wa siasa za kimataifa nmetoa mfano wa Yugoslavia,Bosnia,Myanmar,Vietnam n.k

Sasa ww umekazania hoja eti oooh hawavamii mpaka kuwepo mafuta au dhahabu.... Ssa Bosnia kuna madini gani??

Kingine issue ya Rwanda ni dunia nzima ilipiga kimya so ingekua wote wamekuja kasoro US tungesema kisa hamna dhahabu?? Sasa basi TZ haikupeleka jeshi Rwanda kisa hatukuona kuna dhahabu?? Na ambacho hufahamu US ili lobby sana UN ili Rwanda ya RPF ifutiwe zuio la silaha, walivyopata ndio wakaendeleza mapambanao dhidi ya Interehamwe!! Je ilipopigania hiyo lifting of arms embargo walikua hawajui Rwanda hamna dhahabu??
 
Nchi imejaa sadists hii unategemea nini?

Kama ni gross human rights si wampeleke The Heague tujue mashitaka yake kawaua akina nani?
 
Kama wewe ni jeuri kiasi hicho hebu face this,
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
Good, umeongea ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…