Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Kumzuia mtu ndio maximum penalty?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea?
Sasa wewe utaendelea kupesti huu ujinga wako hadi saa ngapi??!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We bwana we acha maneno mengi huu utawala wa jiwe ni utawala wa wauaji tupu
Sawa, Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
mxiewwwwweeeeeeeww hata sikutaka kucomment kwenye huu ushuzi wako imenifanya nikujibu yaaan off all reasons attached hapo umeonaa wamezungumziaa ushogaa yaan watu wengine bwana hivi unamjuaa huyo aliyetoaa report/barua/onyo ni nani?? unajuaa alikuwa nani before hajawa na hiyo nafasi aliyonayo sasa?au unadhan marekani wanaongozwa kwa mihemko kama sisi wabongo?watu wamesha kaa chini na kufuatilia thats why wakaja na sababu zinazoeleweka ila mabonngo zozo kama ww ndo mmenangania ushogaa kwani whts wrong with ushoga kama mtu anakubali kuliwa mwenyewe na anaenjoy??!nani anakupa jeuri ya kuingilia uhuru wa mtu??yaan dudu apigwe mwingine ww uumiee kweli??hebu fanyeni kazi bwnaa na kujifanya unajua kila kitu kama huna kazi natafuta house boy wa kunifuliaa vyupi vyangu ....
Ndo maana yule mtot wako wa kiume tunamfukua mtaro kumbe unafurahia kwasababu ni uhuru wake ok sawa ngoja tumuendelezee moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mxiewwwwweeeeeeeww hata sikutaka kucomment kwenye huu ushuzi wako imenifanya nikujibu yaaan off all reasons attached hapo umeonaa wamezungumziaa ushogaa yaan watu wengine bwana hivi unamjuaa huyo aliyetoaa report/barua/onyo ni nani?? unajuaa alikuwa nani before hajawa na hiyo nafasi aliyonayo sasa?au unadhan marekani wanaongozwa kwa mihemko kama sisi wabongo?watu wamesha kaa chini na kufuatilia thats why wakaja na sababu zinazoeleweka ila mabonngo zozo kama ww ndo mmenangania ushogaa kwani whts wrong with ushoga kama mtu anakubali kuliwa mwenyewe na anaenjoy??!nani anakupa jeuri ya kuingilia uhuru wa mtu??yaan dudu apigwe mwingine ww uumiee kweli??hebu fanyeni kazi bwnaa na kujifanya unajua kila kitu kama huna kazi natafuta house boy wa kunifuliaa vyupi vyangu ....
I am happy to see you once again!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sawa, jibu hili tukuone;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Basi ni jukumu letu kuungana na kukemea utawala wa kikatili wa Magufuli kabla mabeberu hawajapata sababu ya kutuvuruga...

Watu ndani ya nchi yetu tunaishi kama wakimbizi, wenye haki ya kuishi kwa uhuru ni wana CCM tu..

CCM wanakusanyika kila wanapojisikia upinzani wakikusanyika wanapewa kesi za uhujumu uchumi...

tuna Ndugu kibao wako mahabush wengine nje kwa kesi mbalimbali za kijinga na uonevu.

Tanzania ni yetu sote sio ya kikundi cha watu wachache.!
 
MASKINI MLETA UZI UNA KURUPUKA BILA KUJUA WHAT'S GOING ON.

NI HIVI HUU UTAWALA WA MAGUFURI MATUKIO YA KUUA RAIA,KUTEKA NA KUSHA MBULIA MTU YOYOTE ALIYE NA MAWAZO TOFAUTI NA MAGUFURI NDIO CHANZO CHA MAMBO YOTE. AMA KWELI USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZZ
Wewe ndyo umeandka ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida unaongozwa na propaganda kuliko uhalisia..... Je marekani kwenda vietnam kulikua na faida ya kiuchumi?? Vipi CUBA kulikua na faida ya kiuchumi?? Na nikukumbushe tu hata Angola na Zimbabwe zilipoenda kupambana na majeshi ya Rwanda yaliokuwa supported na US huko DRC yalidai dhahabu in return ya gharama za vita lakini ingefanya hivyo US mapovu mngetoka hapa wiki nzima.

My point is, sio kila vita ni mpaka uwe na mafuta kuna issue kama itikadi,ushawishi na kuwa world leader kwenye foreign policy ndio maana walimpigania sana Aung San Su Kyi ilihali hakuna faida ya kiuchumi huko Myanmar. Vipi kule Bosnia kulikua na faida ya kiuchumi?? Kusaidia Kurds northen syria kuna faida ya kiuchumi?? Aaah uvamizi wa Yugoslavia ulikua na faida za kiuchumi??

Shida mnakaririshwa tu case chache ili kuhalalisha propaganda but ilipaswa upige hesabu za vamizi zote za USA alafu uniambie je zote ni kisa kuna mafuta au dhahabu??

Vijana tuache propaganda
Hayo yote majibu unayo na yako wazi, kudominate na kucontrol watu wengine kwa maslahi yako unaona ni kitu kizuri sio? Hata akituambia tuzibuane marinda sisi tufuate tu, ndio control unayoitaka? Anyway;
Sawa, Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
Sisi Watanzania ni wajinga sana,
Kuna watu wanahisi wanawakomoa wengine wanasahau wao wapo humuhumu
Tangu lini katika historia ya America walishawai kusolve Mgogoro wowote zaid ya kuongeza na kuacha Maafa.

Kuna Mijitu inataka Mmarekani aingilie hivi hamuoni
Kinachowakuta
Libya, Iran, Nigeria, Rwanda, Congo

Mmarekani huwa anaingilia sehemu potential tu
Hebu angalia hawez ingilia Uganda, burundi , Angalia kuna kibao kuna migogoro haingilii.
Kuna wa2 wanahisi hii nchi siyo yao hata ikichafuka haiwahusu hata ikiharibika haiwahusu
Hebu ni coute
Kuna M2 mmoja anasema
"TULIA DAWA IWAINGIE"
namwonea huruma kwa umaskini wa fikra.
Hajui halitendalo
Ila ni sawa na lile neno kwenye biblia
"Mwanamke mjinga huivunja nyumba yake Kwa mikono yake mwenyewe "
Wanahisi wamarekani wanawapenda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana, kumbe bado kuna watu wanaakili kichwani.
 
Kama vipi wangeongeza haraka orodha ya hawa viongozi wa shetani ili kuwaalert kidogo kuwa hawana nguvu kiasi cha wanavyodhani
 
MASKINI MLETA UZI UNA KURUPUKA BILA KUJUA WHAT'S GOING ON.

NI HIVI HUU UTAWALA WA MAGUFURI MATUKIO YA KUUA RAIA,KUTEKA NA KUSHA MBULIA MTU YOYOTE ALIYE NA MAWAZO TOFAUTI NA MAGUFURI NDIO CHANZO CHA MAMBO YOTE. AMA KWELI USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZZ
Ujui lolote kuhusu ujasusi funga mdomo wako, wewe unarushiana maneno na ndugu yako kila mtu anaona ndugu yako akiuawa hakuna atakae kuelewa, wenye nia na kuinyonya nchi yetu na kuona flani ni kizuizi ataingilia ugomvi wenu kimya kimya na kumuua mmoja mmoja akose pa kujitetea,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Mashoga wakubwa nyie, nendeni huko kwa mabwana zenu mkatafunwe mik*undu mbwa nyie..!!!
Matusi hayatakusaidia kwa hali yoyote,just tell us who shooted Tundu Lissu,who killed Ben Saanane,who killed Commander Mawazo?
So many innocent people had lost in a very misterious way!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na uendawazimu wake Trump hajawahi kuuwa wapinzani wake kwa risasi hadharani hajaua waliohoji elimu yake wala hajawaweka kizuizini miaka saba watu anaotafautiana nao kiimani kama nyinyi mnaotutesea ndugu zetu wa uamsho
JIHAKIKI
JITATHMNI
UKHTYWA GENGE LA WAUWAJI

Sent using Jamii Forums mobile app
Paul Makonda ndiyo aliwaweka ndani hao ndugu zako wa uamsho?

Trump juzi kamuua nduguyo Soleimani umesahau tayari?
 
Kabla ya hayo, Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
Issue ya Khashoggi sababu Saudi Ni permanent ally wa US pale middle East so akimpoteza ina madhara makubwa kuliko kifo cha mtu mmoja. Hata zenji hawakuweza vunja muungano kisa tu TANESCO ilitaka kuwakatia umeme!! Kuna tolerance levels. Na unaweza ona Saudia imebadilika sana leo hii wanawake wanaendesha gari,kuangalia mechi za mpira n.k hizo reforms zilikua imposed na marekani kwahiyo flaw moja haiwezi ingiza vitani.

Narudia tena sio kila nchi unaingia kwa minajiri ya kupata mafuta mingine ni maeneo ya kimkakati na kutafuta ushawishi wa siasa za kimataifa nmetoa mfano wa Yugoslavia,Bosnia,Myanmar,Vietnam n.k

Sasa ww umekazania hoja eti oooh hawavamii mpaka kuwepo mafuta au dhahabu.... Ssa Bosnia kuna madini gani??

Kingine issue ya Rwanda ni dunia nzima ilipiga kimya so ingekua wote wamekuja kasoro US tungesema kisa hamna dhahabu?? Sasa basi TZ haikupeleka jeshi Rwanda kisa hatukuona kuna dhahabu?? Na ambacho hufahamu US ili lobby sana UN ili Rwanda ya RPF ifutiwe zuio la silaha, walivyopata ndio wakaendeleza mapambanao dhidi ya Interehamwe!! Je ilipopigania hiyo lifting of arms embargo walikua hawajui Rwanda hamna dhahabu??
 
Nchi imejaa sadists hii unategemea nini?

Kama ni gross human rights si wampeleke The Heague tujue mashitaka yake kawaua akina nani?
 
Nasikitika mtu mmoja tu Kati ya wanachama wote wa Chama chetu ndye anatetea uharamia wa mtu mmoja!!hivi mlivokua shule kwenye general studies..mlisoma Civilization..Hivi Francua unaheshimu waliokusomesha..?kwanini usijibu hoja ya barua ya katazo lao hasa paragraph ya Mwisho? Heri mpumbavu afichae upumbavu wake kuliko mwelevu aonyeshae upumbavu wake!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe ni jeuri kiasi hicho hebu face this,
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
 
Good, umeongea ukweli
Hapana waseme sababu nyingine lakini kwa hii wanatudanganya watanzania.
Over deteriorating respect for human rights???
Zipii.??

Kwa hiyo huu ukandamizwaji wa haki za binadamu kaufanya makonda peke yake Kama mkuu wa mkoa ndio Mana yeye kapewa ban???
Uvunjifu gani alio ufanya, kaua, kanyonga mtu, kafunga mtu jela, kateka mtu ama nini hasa, Kama ni hivo kwanini hawakuweka ushahidi hata wa hayo aliyo yafanya???
Waseme tu ukweli na sio kutufanya wajinga kiasi hiki, Kama kweli huku kuna uvunjifu wa haki za binadamu na hakuna utawala wa sheria basi wangeanza na Rais na sio mkuu wa mkoa. Hili jambo linashangaza sana hili.

Au ni kwasababu aliwapinga walipotao matamko kuwa kutakuwa na mashambulizi ya kigaidi maeneo ya masaki bila kushirikisha serikali (huu ndo utawala wa sheria wanao utaka)na kusema watalii wasije tz.?

Au ni kwasababu aliwapinga pale walipokuwa wanalazimisha kuaminisha watu kuwa Tanzania kuna EBORA tena mgonjwa kagundulika temeke Dar es salaam?

Nadhani Wana kitu binafsi na Makonda na hii habari ya human rights ni kisingizio tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom