Acha cherry picking mimi nimetoa mfano kuwa mbona ameingia nchi masikini pia ambazo hazima rasilimali kama Kosovo au Guatemala?
Kwahiyo nimekipa task nipe mfano wa nchi yenye rasilimalia ambayo US ameingia bila vita kupiganwa na ikaharibika?? Nipe mfano wa hizo nchi.
Maana mmi hoja yangu ni kwamba nchi zinaharibiwa na vita sio eti marekani..... Mbona Egypt iko imara licha ya pressure ya US jamaa kuachia ngazi?? Vipi CUBA mbona licha ya pingamizi la US wamebaki imara hadi leo?? Yote sababu huko vita hazikupiganwa za wenyewe kwa wenyewe ila vita ndio huleta maafa.
Libya na Iraq huko sababu vita zimepiganwa so Is machafuko venezuela. Ila marekani ikikuwekea pressure alafu ukiamua kujiuzuru kirafiki kabisa kama Yahya Jammeh nchi yako itaharibikaje?? Hapa ndio sikuelewi kabisa.
Issue ni VITA.....VITA....VITA..
Tatizo ni impact ya America,
90% ya nchi alizoingia dam ilimwagika.
Ningeona mnaakili it's best Mkachochee At UN angalau wanaweza kuwa na Salia Mtume.
USA amekuja na chokochoko ngapi?
Yan anatafuta njia ,
Kila sehemu yeye ni kuharibu! ?
What you don't know do you think it will be like Egypt or More than?
How do you gurantee yourself it's not reach at Somalia, Libya, Iran, Iraq point zone.
Ulishawai kuona vita ikipiganwa ulishawai kumuona M2 akipigwa Risasi mbele yako.
Mm nahisi tunayoyatafuta ni makubwa kuliko ya Lissu, na wengine
Coz dam itayomwagika itakuwa ni watanzania wasiojua chchote kuhusu siasa instead ya mambo mengine tu.
Hivi ujui kuwa Robo tu ya Watz wapo interested na siasa apart of zaid ya 70 %
Hawana muda na Hawajui chochote kuhusu siasa, if you want to believe nenda Majukwaa ya umbea , Mapenz na story look views alafu come here look views and participants .
Hapo utajua they want to sucrifice other wakati wenyewe wapo abroad.
Sent using
Jamii Forums mobile app