Kila nikiangalia sioni mahali waliposema kawa banned kisa ushoga... SioniiiiiiiiBBC ambalo ni shirika la utangazaji la Uingereza limeweka wazi kuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam amezuiwa kuingia Marekani kwa sababu ya juhudi zake za kupambana na ushoga nchini Tanzania.
Ikumbukwe Mara baada ya Paul kuanzisha vita ya madawa ya kulevya na ushoga alianza kushambuliwa na kupokea vitisho kutoka kwa chadema na mabeberu kutoka kote duniani.View attachment 1343649
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM mnajua kutufunga magoli, ndiyo maana mnatupa bora elimu bure ili tuzidi kudumaa. Pompeo ameandika wazi kuwa Paul Makonda anazuia haki ya binadamu kuishi.
Huo ushoga mbona Museveni na Uhuru Kenyatta wanaupinga lakinihawajapigwa pini ya kwenda duniani. Tunashukuru agile zadini kutufundisha this is apple tumeweza kumuelewa Pompeo.
Huyu jamaa aliiweza sana Diplomasia.
Huko Jalalani hakujawahi kutoka mtu mwenye akili, kwa kawaida jalalani huwa wanakaa wagonjwa wa akili kama huyu Profesa wetu.KABUDI HANA AKILI KABISA . HUYU JAMAA NI BOMU
Hahaha mkuu hao watu ni vilaza wa kutupwaKama ungekuwa na akili kama unavyojitapa Mkuu wa Mkoa wa Dar anahusika nini na upinzani? Kama swala lingekuwa ,, kuminya” upinzani kama mnavyotulazimisha kuamini kwa nini asiwe Waziri wa mambo ya ndani, Mkuu wa Polisi au hata Kiongozi yoyote yule Mkuu wa nchi? Huko Mikoani kote Tanzania Makonda anahusika?
Hili mkuu lipo wazi ni wapuuzi ndio wanajifanya hajui hili. Hawajataka kuweka wazi wamarekaniBBC ambalo ni shirika la utangazaji la Uingereza limeweka wazi kuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam amezuiwa kuingia Marekani kwa sababu ya juhudi zake za kupambana na ushoga nchini Tanzania.
Ikumbukwe Mara baada ya Paul kuanzisha vita ya madawa ya kulevya na ushoga alianza kushambuliwa na kupokea vitisho kutoka kwa chadema na mabeberu kutoka kote duniani.View attachment 1343649
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi shuleKila nikiangalia sioni mahali waliposema kawa banned kisa ushoga... Sioniiiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni kilaza mkubwa hauelewi hata maada inahusu niniMtoa mada huna akili unajitahidi kusafisha mtu mchafu kwa tope hivi wa kupambana na ushoga ni bashite kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kiazi sana....unapoteza tu muda taarifa kamili ipo na tumeiona na kuisoma vizuri.....kaa na mambo yako ya BBC...BBC ambalo ni shirika la utangazaji la Uingereza limeweka wazi kuwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam amezuiwa kuingia Marekani kwa sababu ya juhudi zake za kupambana na ushoga nchini Tanzania.
Ikumbukwe Mara baada ya Paul kuanzisha vita ya madawa ya kulevya na ushoga alianza kushambuliwa na kupokea vitisho kutoka kwa chadema na mabeberu kutoka kote duniani.View attachment 1343649
Sent using Jamii Forums mobile app