Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
Mwisho wa ubaya ni Aibu walikuwepo akina mabutu, Abacha, chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Iddy Amin Dada alikuwa na msaidizi wake mwenye roho mbaya kama ya Daud Bashite aliitwa kwa jina la maliyamungu leo hii wapo wapi?
 

Secretary Pompeo
@SecPompeo



Today we designated Dar es Salaam Regional Commissioner Paul Christian Makonda as ineligible to enter the U.S. for his involvement in gross violations of #humanrights. We are deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in #Tanzania.

Hapana waseme sababu nyingine lakini kwa hii wanatudanganya watanzania.
Over deteriorating respect for human rights???
Zipii.??

Kwa hiyo huu ukandamizwaji wa haki za binadamu kaufanya makonda peke yake Kama mkuu wa mkoa ndio Mana yeye kapewa ban???
Uvunjifu gani alio ufanya, kaua, kanyonga mtu, kafunga mtu jela, kateka mtu ama nini hasa, Kama ni hivo kwanini hawakuweka ushahidi hata wa hayo aliyo yafanya???
Waseme tu ukweli na sio kutufanya wajinga kiasi hiki, Kama kweli huku kuna uvunjifu wa haki za binadamu na hakuna utawala wa sheria basi wangeanza na Rais na sio mkuu wa mkoa. Hili jambo linashangaza sana hili.

Au ni kwasababu aliwapinga walipotao matamko kuwa kutakuwa na mashambulizi ya kigaidi maeneo ya masaki bila kushirikisha serikali (huu ndo utawala wa sheria wanao utaka)na kusema watalii wasije tz.?

Au ni kwasababu aliwapinga pale walipokuwa wanalazimisha kuaminisha watu kuwa Tanzania kuna EBORA tena mgonjwa kagundulika temeke Dar es salaam?

Nadhani Wana kitu binafsi na Makonda na hii habari ya human rights ni kisingizio tu.
 
Mwisho wa ubaya ni Aibu walikuwepo akina mabutu, Abacha, chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Iddy Amin Dada alikuwa na msaidizi wake mwenye roho mbaya kama ya Daud Bashite aliitwa kwa jina la maliyamungu leo hii wapo wapi?
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Marekani ni peponi kiaina ndugu yangu. Marekani ndo kila kitu na kumbuka hapo si marekani tu Bali na washirika wake wote. Ishu ya kabendera pia imecheza nafasi kwenye hili
Kwani Ukizuiwa kuingia America utakosa Oxygen?

Marekan sio Peponi bana waache kujikweza

Kuna ma Billion ya Watu hawajafika America na hakuna cha maana wanakosa


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajaribu Jaribu Kujitetea Na Ushoga Lkn Nasikia Nae Bwana Yule Ndio Kungwi Wa Mashoga

Zimeongelewa Hatia Nyingi sana Kwann Ushoga tu Ndio Muone Imewauma

Comments Za Watanzania Kushangilia Niudhihirisho Tosha Wamechoshwa Na Ujima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maliyamungu wa Tanzania kwa sasa ni Daud Bashite
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Mnajaribu Jaribu Kujitetea Na Ushoga Lkn Nasikia Nae Bwana Yule Ndio Kungwi Wa Mashoga

Zimeongelewa Hatia Nyingi sana Kwann Ushoga tu Ndio Muone Imewauma

Comments Za Watanzania Kushangilia Niudhihirisho Tosha Wamechoshwa Na Ujima

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?
 
Hapana waseme sababu nyingine lakini kwa hii wanatudanganya watanzania.
Over deteriorating respect for human rights???
Zipii.??

Kwa hiyo huu ukandamizwaji wa haki za binadamu kaufanya makonda peke yake Kama mkuu wa mkoa ndio Mana yeye kapewa ban???
Uvunjifu gani alio ufanya, kaua, kanyonga mtu, kafunga mtu jela, kateka mtu ama nini hasa, Kama ni hivo kwanini hawakuweka ushahidi hata wa hayo aliyo yafanya???
Waseme tu ukweli na sio kutufanya wajinga kiasi hiki, Kama kweli huku kuna uvunjifu wa haki za binadamu na hakuna utawala wa sheria basi wangeanza na Rais na sio mkuu wa mkoa. Hili jambo linashangaza sana hili.

Au ni kwasababu aliwapinga walipotao matamko kuwa kutakuwa na mashambulizi ya kigaidi maeneo ya masaki bila kushirikisha serikali (huu ndo utawala wa sheria wanao utaka)na kusema watalii wasije tz.?

Au ni kwasababu aliwapinga pale walipokuwa wanalazimisha kuaminisha watu kuwa Tanzania kuna EBORA tena mgonjwa kagundulika temeke Dar es salaam?

Nadhani Wana kitu binafsi na Makonda na hii habari ya human rights ni kisingizio tu.
CIA walishapewa taarifa zote za Daud Bashite na FBI waliopo hapo Tanzania juu ya utekaji upigaji risasi na kuwabambikia watu kesi kuwapora wapinzani ushindi kwenye chaguzi zote
 
Hapana waseme sababu nyingine lakini kwa hii wanatudanganya watanzania.
Over deteriorating respect for human rights???
Zipii.??

Kwa hiyo huu ukandamizwaji wa haki za binadamu kaufanya makonda peke yake Kama mkuu wa mkoa ndio Mana yeye kapewa ban???
Uvunjifu gani alio ufanya, kaua, kanyonga mtu, kafunga mtu jela, kateka mtu ama nini hasa, Kama ni hivo kwanini hawakuweka ushahidi hata wa hayo aliyo yafanya???
Waseme tu ukweli na sio kutufanya wajinga kiasi hiki, Kama kweli huku kuna uvunjifu wa haki za binadamu na hakuna utawala wa sheria basi wangeanza na Rais na sio mkuu wa mkoa. Hili jambo linashangaza sana hili.

Au ni kwasababu aliwapinga walipotao matamko kuwa kutakuwa na mashambulizi ya kigaidi maeneo ya masaki bila kushirikisha serikali (huu ndo utawala wa sheria wanao utaka)na kusema watalii wasije tz.?

Au ni kwasababu aliwapinga pale walipokuwa wanalazimisha kuaminisha watu kuwa Tanzania kuna EBORA tena mgonjwa kagundulika temeke Dar es salaam?

Nadhani Wana kitu binafsi na Makonda na hii habari ya human rights ni kisingizio tu.

Hawa jamaa wapo mbele sana katika kukusanya taarifa, kuzichakata na kupata jibu sahihi / maana halisi na kisha kufanyia maamuzi .

Cocktail parties zinazofanyika Dsm , wanafunzi na maafisa serikali waliopata scholarship / safari za mafunzo Marekani pia ni vyanzo sahihi za kupata habari.

Serikali ya Tanzania iliposisitiza wafanyakazi wa umma waombe kibali na kuelezea sababu za safari nje ya nchi ilikuwa kuwatia hofu wasitoe siri au ukweli wa mambo yanayoendelea Tanzania. Hivi juzi tu Mh. Zitto Kabwe bunge la Ndugai wamemshambulia sana kuwa ni msaliti hii yote kutia watu hofu.

Hivyo mara nyingi Marwkani hawakosei wanapotoa taarifa kama hii kwa umma na ulimwengu maana kuna vyanzo vingi kukusanya taarifa sahihi.
 
Usituchoshe Na Kurudia Rudia Comments Nakujiona Una Point Mkuu

Kama Ushoga Umekuuma Kampimeni Na Huyu Ndugu Yenu Kama Mzima Huko Ndichi

Mmezuia Hadi Wa Tz Wasio Na Hatia Kuto Enda Find Ridhiki huko Mambele Kwaajili Ya Ukabaila Wenu

Mnaleta Oja Dhaifu Zisizo na Mantic


Naona Unausingizi Nakushauri Kunywa Maji Mengi kisha Lala Relax Mchezo Hautaji Pupaa
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CIA walishapewa taarifa zote za Daud Bashite na FBI waliopo hapo Tanzania juu ya utekaji upigaji risasi na kuwabambikia watu kesi kuwapora wapinzani ushindi kwenye chaguzi zote
Nakuuliza hayo yote kayafanya Makonda binafsi Kama mkuu wa mkoa au ni serikali nzima?? Kwamba huu ulikuwa ni mpango binafsi wa Makonda???
Hao CIA kwanini hawakuweka ushahidi wa hata tukio moja alilolifanya Makonda na huo upigaji watu risasi unao usema??
 
Muda Mwingine Msipate Shida Kuisafisha Kaniki Ilhali Colour Yake Inajulikana Mkuu

90%Yawatanzania Wameunga Mkono U know Why ? It means a lot

Watu Wazima tu ndio Wataelewa Ila Walio Zoea Kwa Kuishi Kwa Mapambio Ya Kumsifu Bwana Huyu Usiku Utakuwa Mbaya sana Kwenu

Don't forget it's a Weekend Stop Drama [emoji119]let's having fun

YAKAISARIII...
Nakuuliza hayo yote kayafanya Makonda binafsi Kama mkuu wa mkoa au ni serikali nzima?? Kwamba huu ulikuwa ni mpango binafsi wa Makonda???
Hao CIA kwanini hawakuweka ushahidi wa hata tukio moja alilolifanya Makonda na huo upigaji watu risasi unao usema??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu nimekasirika sana leo kwa mibunge ya CCM kudai Zitto auawe. Yaani kwa ujinga yanamwaga petroli kwenye moto.
Yaani nyie CCM, Zitto akiguswa tu na unyasi, wote mnaishia the Hague, wapuuzi nyie.
Sana kiongozi yani ni kama wanaweka evidence kwamba serikali inahusika, hasa mchango wa burembo pale aliposema dawa ya msaliti ni kifo ilitakiwa speaker akemee ,lakini cha ajabu eti anapigiwa makofi
 
Back
Top Bottom