Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Hivyo vyama ambavyo unasema sijavitaja nimekuachi wewe uvitaje na kuviimba kama kasuku.
Hujiewi Wewe, unasifia Chama tu pasipo kuwa na hoja za msingi, hiki unachokifanya ni uhayawani wa kiwango cha SGR, Mpuuzi tu wewe kwani umekuwa ni reporter wa Chama humu JF. Tafuta njia nyingine ya kukisifia Chama na Watu. Ningekuona wa maana sana tungekuwa na njia mbadala za kujibu kero na uharibifu unaofanywa na Chama chako. Unayo yaripoti humu Millard Ayo, radio,Vituo vya TV na magazeti vinatosha. Wewe tafuta njia nyingine. Amelaaniwa mtu amtegemeae Binadamu mwenzake na wewe ndio una laana kubwa sana yaani mpaka umpambe Kiongozi na kumtolea taarifa kwa kila anachokifanya. Njaa na shida haziondoki kwa kujipendekeza kwa Chama chako na viongozi wa Chama.
Badirika wewe.
 
Aisee!! Umemtukana sana Erythrocyte.

Ni aheri mtu akutukane tusi jingine lolote kuliko akuambie una akili na unafiki kama Mwashambwa.
Hao wote ni wawendawazimu
 
Uharibifu upi unaouzungumzia wewe? Kero za wananchi zinaendelea kujibiwa na kupatiwa majibu stahiki kila uchwao.ndio maana watanzania wanaendelea kuwa na imani kubwa sana na CCM na Serikali yake kwa kuwa imekidhi matarajio yao na kukata kiu yao.mimi ni mwana CCM na Nina wajibu wa kukisemea chama changu na viongozi wangu kwa yote wayafanyayo katika kuwaletea maendeleo wananchi pamoja na kujibu kero za wananchi kwa kuwapa majibu stahiki.
 
Vyama vingine kama CHADEMA vilishakata pumzi muda mrefu sana.havina hata hela ya mafuta kwa ajili ya kufika mikoani .ndio maana unaona vimebaki mifukoni tu kama shilingi.
 

Chief manyama
 
😂😂😂😂
Kero zipo wewe acha kujiaibisha leo asubuhi nilikuwa nasikiliza radio Tumaini kuna shule ina Wanafunzi 1500 kila Mwanafunzi anaambiwa aende na Jaba la Maji, Mfagio wa chelewa, Panga na matofali matano wewe huoni huu ni upigaji na mradi wa watu ? Na happ hapo tunaambiwa elimu ni bure?
Yaani ukiwa na akili timamu huwezi ukaingia humu ukawa unasifia Serikali ya Chama cha Maponduzi.
 
Kwa hiyo kama elimu bure unataka hadi mfagio mwanao asipeleke shuleni??? Vitu vingine vidogo vidogo kama hivyo ni vya kawaida tu. Sasa wewe mfagio wa elfu moja nao unaona ni mzigo na gharama kubwa kununua?
 
Wenzio tulivuka mwaka na utimamu wetu .

Wewe hata akili kidogo ulizokua nazo uliziacha 2023.

Uzi una maoni 81 ila robo tatu ni negative na unajidai huoni kwa kuvaa miwani ya mbao.

Huyo zero brain akatetemeshe mikoa hiyo kwa kipi wakati watu wana mgao wa umeme, maji na gharama za maisha zikiwa juu nadhani utakua unaota , yaani 7k ndio inawavua utu hivyo ni dalili tosha hali sio nzuri Tanzania.
 
Endelea tu ndugu yangu kutingisha tako manake ,,upinzani wenyewe wa nchi hii ni mapopoma tu
 
Kwa hiyo kama elimu bure unataka hadi mfagio mwanao asipeleke shuleni??? Vitu vingine vidogo vidogo kama hivyo ni vya kawaida tu. Sasa wewe mfagio wa elfu moja nao unaona ni mzigo na gharama kubwa kununua?
Mifagio 1500 ya nn ?
Matofali 5x1500 yanaenda wapi ?
Majaba 1500 yanaenda wapi?
Mapanga 1500 yanaenda wapi ?
Hiyo ni kila mwaka huoni huo ni Wizi chini ya Serikali ya CCM
Kero zipo acha kujizima data
 
Lucas mwashambwa Kero nyingine ni hii hapa

MARA: Wafanyakazi zaidi ya 200 wa Mgodi wa Dhahabu wa Cata Mining Limited uliopo Kijiji cha Katalyo Wilayani #Butiama wamefanya mgomo na kulala katika ofisi za mgodi huo, wakishinikiza uongozi uwalipe malimbikizo ya mishahara na kuwaingizia malipo ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)

Kupitia barua yao ya wazi kwenda kwa Waziri wa Nishati wamedai hawajalipwa mishahara ya Novemba na Desemba 2023, pia wamekatwa makato ya #NSSF kwa miaka 7 lakini hayafiki katika akaunti zao na wanapofuatilia NSSF - Mara hawapewi ushirikiano

Alipotafutwa Mkuu wa Utumishi wa Mgodi, Richard Bendera hakupatikana kuzungumzia madai hayo

Soma Wafanyakazi mgodi wa CATA Mining Mara, waanza mgomo kushinikiza kulipwa mishahara, michango NSSF

#JFUwajibikaji #CivilRights #HumanRights #KemeaRushwa #Accountability #JamiiForums
 
Serikali yetu Sikivu imeshaipata taarifa hiyo na wote wenye kustahili haki watapata haki zao.jasho la mnyonge halipotei bure.
 
Mifagio 1500 ya nn ?
Matofali 5x1500 yanaenda wapi ?
Majaba 1500 yanaenda wapi?
Mapanga 1500 yanaenda wapi ?
Hiyo ni kila mwaka huoni huo ni Wizi chini ya Serikali ya CCM
Kero zipo acha kujizima data
Kwa hiyo unataka wakienda shuleni kwa mara ya kwanza wasiende na vifaa halafu wakatumie vifaa alivyoleta nani?
 
Usiangalie wangapi wanapinga maana hata galileo alipingwa sana na watu ila mwisho ilikuja kufahamika kuwa alikuwa sahihi na walio wengi ndio walipotoka.
 
Ndioaana unatukanwa sana na hata ukiropoti mods hawakutilii maanani wewe mjinga
 
Chawa on air!

Tuache kwanza tuko kusherehekea kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ya chawa mwandamizi Kujamwi!

Tuache kwanza tupo Site kupiga picha za jumba la Kichawa!

Vipi Wa jina yako lini kuzinduliwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…