Paul Makonda kwenye suala la kutatua changamoto za wananchi alikuwa the best kuliko wakuu wa mikoa wote Tanzania

Paul Makonda kwenye suala la kutatua changamoto za wananchi alikuwa the best kuliko wakuu wa mikoa wote Tanzania

Kama ameamua kumpeleka mahakamani ni vizuri.
Haipendezi kulalamika tu mitaani.
Na wengine ambao mnamdai makonda haki zenu mjitokeze
 
Nimetoka sebuleni na kuja kwa kitanda kujipumzisha, sasa nikawaza hivi inakuaje mji kama Dar es salaam usikalike eti kwa ajili ya panya rodi?

Ndipo mke wangu akamkumbuka Paul Makonda na kunikumbusha laiti angekuwepo madarakani hawa mapanya road ingekuwa historia.

Viongozi wengi wa sasa hawawajibiki ipasavyo na kwa mtizamo wangu nahisi uwenda kuna kamgomo baridi kwa mamlaka za juu ili either kufikisha ujumbe au kutokubaluana na mamlaka za juu.

Makonda mmoja alikuwa anauwezo mkubwa wa kiuongozi hasa katika jiji kubwa la dare salaam lakini ndani ya utawala huu wa awamu ya sita umemteua Makala ambaye kwa mtizamo wangu ni kiongozi dhaifu ambaye kama tungekuwa tunauwajibijaji Makala angekuwa nje aidha kwa kufukuzwa au kujiuzuru.

Kiongozi wa pili kuwajibika kutokana na ishu ya panya road bila kupepesa maneno ni waziri Masauni.Ni heri Paul Makonda arudishwe kwenye kazi kwa maana mazuri yake ni mengi kuliko madhaifu yake.Kwa maoni yangu haya wazuri mambo ya ndani hafai hata kwa dakika moja na ninadhani wizara hii ya mambo ya ndani haiwezi mpole mnooo.

Viongozi wanaohusika na uteuzi kwa mamlaka mlizokuwa nazo please liangalieni hili katika awamu hii wateule wenu hawawajibiki wengi maneno matupu huku wananchi wakiendelea kuuawa na kupata vilema na majeraha makubwa.

Nadhani ile tumbuatumbua inasaidia kuliko huu ukimya kwa hawa viongozi wabovu,lakini kwa Igp nashauri RPC na ocd wa eneo uhalifu umekithiri mwondoe atakutia DOA kwa maana sina shaka na utendaji kazi wa afande Wambura na imani yangu akipangiwa Paul Makonda either awe Rc au waziri wa mambo ya ndani atatufaa sana.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Aliyefungua kesi dhidi ya Makonda yeye ndiye aliporwa na Makonda au mtu mwingine? Kama aliporwa na mtu mwingine ambaye anamfahamu kwanini asimkamate yeye na kumfanya Makonda ndio shahidi? Mdai aliporwa wapi na alitoa taarifa kituo gani cha polisi? Huwezi kufungua kesi ya madai yenye maudhui ya jinai ambayo haijawahi kufunguliwa, kupelelezwa na wala kupelekwa mahakama yoyote!!!!

Kama mdai kashauriwa na mwanasheria basi kaingizwa mkenge hapo ndipo anaenda kukamatwa kabisa kwa kosa lake la jinai kuhusu uhalali wa gari hilo.


Kila kukicha wajizi yanawaza Makonda Makonda Makonda kwanini hashitakiwi wengine mpaka wanajitoa ufahamu kwa kutimiwa tu bila kujua wanapelekwa kwenye shiomo la giza. Chuki ni mbaya sana achaneni nazo
 
Acha promo. Mkuu wa Mkoa bora alikuwa Anthony Mtaka.
Pili, vyeti ni mfumo rasmi. Aka some. O-level.
 
Mm nasisitisha kuwa hatma ya makonda Bado haijajulikana mwisho wake ktk siasa lolote laweza kutokea na hatimae kuibuka. Shujaaa na ndipo kutakopo kuweko kilio Cha kusaga meno kwa timu msoga muda Ni kitu kizuri snaa katk siasa

Mim Bado siamini kbsa kuwa huyu mtu kisiasa kafa Ni mpka afe kbsa kbsa ndio nitakuwa na uhakika

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nakupinga.

Unasema hao panya road wangekuwa historia.
Unajua ya kwamba hao panya road walikuwepo hata kbla ya huyo unayemtaja hajawa mkuu wa mkoa na hata hadi alivyokuwa madarakani kuna nini kilifanyika kuwafanya hao kuwa historia
.??
 
Back
Top Bottom