Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Wataanza kutupiana majini maana wote ni watu wa shirki.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Lolote liwalo,Makonda ana akili nyingi sana.Kumbe ubashite alibambikiziwa tu.Kwa kazi anayofanya Arusha namu-endorse for President 2025,viatu vinamtosha kabisa.Ni zaidi ya Magufuli.Kijana anapiga kazi aisee,duh!Ni jewel.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Mtoa mada utakuwa haupo Arusha na wala hajui siasa za Arusha zilivyo kabisa.

Kwa uzoefu wangu Arusha na hali halisi ilivyo, hata Makonda asingekuja kuwa RC Arusha, Gambo hawezi kushinda kura za maoni Arusha 2025. Sina uhakika na sidhani pia kama Makonda atagombea Arusha. Sidhani kama ana hio interest, ana jimbo lake mbona inajulikana kabisa anaenda kugombea huko 2025.
 
Mtoa mada utakuwa haupo Arusha na wala hajui siasa za Arusha zilivyo kabisa.

Kwa uzoefu wangu Arusha na hali halisi ilivyo, hata Makonda asingekuja kuwa RC Arusha, Gambo hawezi kushinda kura za maoni Arusha 2025. Sina uhakika na sidhani pia kama Makonda atagombea Arusha. Sidhani kama ana hio interest, ana jimbo lake mbona inajulikana kabisa anaenda kugombea huko 2025.
Huko anaandaa njia tu ,ila kwa nafasi za kuchaguliwa sidhani kama ana wazo la chuga,,,kigamboni bado ipo, tena Ndugulile akipata nafasi ya huko nje jimbo linabaki wazi
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
LEMA ndie mbunge wa ARUSHA MAJI waache wavhaniane mashati hawana mazala hata kidogo hao viroboto wadogo wadogo.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Uwongoooo, hivi Huwa inakuaje Mwanaume mwenye korodani mbili kabisa, Tena unakuta unajiita Baba wa Familia, alafu Unatumia kabisa Ubongo wako ,kuandika uharo?? Mkeo na watoto wako, wanajua wee ndio mwenye ID hii?? .

Ndo maana tumawachapia wake zenu.



Makonda, hawezi kugombea ubunge Arusha, Kwa uwepo wa Mrisho Gambo.,Hawa ni Baba na Mama mmoja.


Acha kuja na kijihabari uharo, uonekane unajuaaa, kumbe mweupeee
 
Back
Top Bottom