Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

Gambo anaharibu na kuliwa pesa zake tu hata raia wapo wazi japo aambiwi ukweli hamna kitu.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Faustine SI anapigiwa chapuo huko WHO?? Akiondoka Paul APEWE Ile kigamboni
 
Lolote liwalo,Makonda ana akili nyingi sana.Kumbe ubashite alibambikiziwa tu.Kwa kazi anayofanya Arusha namu-endorse for President 2025,viatu vinamtosha kabisa.Ni zaidi ya Magufuli.Kijana anapiga kazi aisee,duh!Ni jewel.
Kichwani kwako upo vzr kweli wewe? uwe unawaza kwa kutumia kichwa kabla ya kuandika!
 
Kwahiyo Kila atakapoenda kikazi Mkoa fulani lazima agombee huko??

Maana wakati akiwa Rc DSM aligombea Kigamboni

Sasa ni Rc Arusha eti agombee Arusha Mjini?

Nadhani kama kugombea atarudi Kigamboni tena, maana tayari alishauza Sera zake Kwa Wajumbe Mwaka 2020, kwahiyo ni suala la kuwarudia tu na kuomba ridhaa tena 🙌
Kigamboni anapotezwa kama alivyopotezwa
 
Makonda kama ana taka ubunge inabidi aende Nyamagana au ilemela. Chapu tu ana beba
 
Huenda hizi hadithi ni za ukweli kuhusu huyo mbunge wa Arusha, kutokuwepo kwa Makonda ni nafuu kwake.
 

Attachments

  • FB_IMG_1638573260653.jpg
    FB_IMG_1638573260653.jpg
    14.3 KB · Views: 4
Lolote liwalo,Makonda ana akili nyingi sana.Kumbe ubashite alibambikiziwa tu.Kwa kazi anayofanya Arusha namu-endorse for President 2025,viatu vinamtosha kabisa.Ni zaidi ya Magufuli.Kijana anapiga kazi aisee,duh!Ni jewel.
Talk comes so easy!
DAB aka Paulo ni mpyayukaji na populist. Swali: Unaweza kutoa mifano michache ya aliyobuni yanayoendela hadi sasa?
 
Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Ukichaa mkubwa huu, yaani yaanzishwe majimbo mawili kwa maslahi ya watu wawili badala ya kutazama maslahi ya watu zaidi ya milioni wa Arusha
 
Huenda hizi hadithi ni za ukweli kuhusu huyo mbunge wa Arusha, kutokuwepo kwa Makonda ni nafuu kwake.
Ilitengenezwa habari eti Makonda kapewa sumu na mhusika mkuu ni Gambo.

Ngongo amekaa pale anausoma mchezo mzima.
 
Kazi imeanza Chuganistan.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.

Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.

Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.

Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.

Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.

CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.

Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Kwahiyo Kila kwenye mtifuano ni kuongeza majimbo mbona walala hoi kodi zao zinachezewa hivi jamani ?
 
Hii ndio shida ya mitandao, kuna watu wanaweza amini huu upuuzi,

Makonda na Gambo ni ‘pete na chanda’ aita tokea Makonda kugombea ‘Arusha mjini’ kamwe: sana sana atatumia influence yake kuhakikisha Gambo anapita kura za maoni CCM na anashinda uchaguzi ikiwezekana.

Makonda na Gambo ni ndugu wa kufikia.
Makonda amekuprove wrong jana
 
Back
Top Bottom