Rais wa nchi sifa yake muhimu ni kujali na kuwapenda wananchi anao waongoza,Makonda consistently ameonyesha ana sifa hiyo.Sifa hii ikiwepo Kwa kiongozi wa nchi itamsukuma kufanya wonders.Yuko vizuri sana tu anafanya kazi lakini ana madhaifu yake mengine tu ambayo ukimuangalia kibinadamu hafai hiyo nafasi ya urais kweli kabisa
Gambo viatu havimtoshi,Arusha ni kubwa sana kwakeHeshima sana wanajamvi.
Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.
Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.
Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.
Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.
CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
That’s where this country is at its best. Gutter politics AKA siasa za majitaka. Huo uchafu tunauweza sana.Heshima sana wanajamvi.
Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.
Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.
Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.
Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.
CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Lema?Tunataka kazi,sio bla bla majukwaani.Makonda kwa mara nyingine tena ameonyesha anaweza.Wananchi wa Arusha Mjini wakimchagua Lema au mwingine yeyote isipokuwa Makonda watakuwa wajinga sana.Hatuendi kwa vyama, output is what matters.Jimbo la Arusha mjini ni la lema
You have a calling in BROKEN ENGLISHKwanii,what is politics,
Politics is the manipulation of people to gain power over them.Politicians in their arrogance, flatter, manipulate the citizenry to extract benefit from them to serve their own appetites.Their interest in the citizenry is not genuine, but rather seek to gain advantage to satisfy their own lust.That is what politics is.Infact a morally sound person cannot be a politician.So Makonda akiwa na fitina is expected of him,because that is part and parcel of politics.
Unabisha na mwana wa Mungu sio! Hutaki acha , huo ndo ujumbe nimekupa ni haki yako kukubaliana au kutokubaliana,tunza hiiLema?Tunataka kazi,sio bla bla majukwaani.Makonda kwa mara nyingine tena ameonyesha anaweza.Wananchi wa Arusha Mjini wakimchagua Lema au mwingine yeyote isipokuwa Makonda watakuwa wajinga sana.Hatuendi kwa vyama, output is what matters.
Gambo hamuwezi Makonda,hivyo tuHeshima sana wanajamvi.
Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.
Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.
Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.
Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.
CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
Kwa mara ya mwisho Mungu amemkataa Makonda ,sasa niulize kwa nini? Vipo vipengele 8 anatakiwa vikamisha ili Mungu ambariki ,na sivitaji hapa ila anitafute na simlazimishi ila vipengele viwili hawezi timizaLema?Tunataka kazi,sio bla bla majukwaani.Makonda kwa mara nyingine tena ameonyesha anaweza.Wananchi wa Arusha Mjini wakimchagua Lema au mwingine yeyote isipokuwa Makonda watakuwa wajinga sana.Hatuendi kwa vyama, output is what matters.
Hili jambo ni hatari kwa ustawi wa Taifa, jimbo linaanzishwa kwa maslahi ya watu wawili na si wananchi.CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Mungu alimkataa Makonda wapi?Watu kwa uovu wenu mnamkandia na kumsingizia mambo lukuki bila ushahidi wowote, halafu mnasema Mungu kamkataa,unafiki mtupu.Wewe yote unayojifanya unayajua kuhusu Makonda umesikia tu mitaani,wala huna ushahidi wowote,acheni ujinga.Kwa mara ya mwisho Mungu amemkataa Makonda ,sasa niulize kwa nini? Vipo vipengele 8 anatakiwa vikamisha ili Mungu ambariki ,na sivitaji hapa ila anitafute na simlazimishi ila vipengele viwili hawezi timiza
Mwana wa Mungu utakuwa wewe,mbona vichekeshoo........!Unabisha na mwana wa Mungu sio! Hutaki acha , huo ndo ujumbe nimekupa ni haki yako kukubaliana au kutokubaliana,tunza hii
Awamu sio hawamuBado lema naye,,HAKI hawamu hii kazi ipo Arusha ngoja tuone mwenye kisu kikali n nanii....
Labda kamtaa kake sio jimboJimbo la Arusha mjini ni la lema
Acha ujinga!Heshima sana wanajamvi.
Mkuu wa Arusha Mh Makobda aka Bashite na Mbunge wa sasa Arusha Mjini Mrisho Gambo wapo katika vita kubwa ya kuomba ridhaa ya chama ya kuwania ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM.
Makonda kupitia harakati mbali mbali ikiwemo kuandaa utatuzi wa kero za kisheria hasa masuala ardhi.
Makonda kupitia sanaa ya hali ya juu kaandaa utaratibu wa kutoa matibabu na huduma za afya.
Mipango yote hii ina lengo ta kujijenga kwaajili ya uchaguzi mkuu 2025.
Wakati haya yakiendelea kambi ya Mbunge wa sasa Mrisho Gambo imeapa itapambana kufa na kupona kugakikisha Mrisho anatetea kiti cha ubunge kwa gharama zozote.
CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Ngongo kwasasa Kisiwani Mafia.
OK,Labda kamtaa kake sio jimbo
SawaMwana wa Mungu utakuwa wewe,mbona vichekeshoo........!
Ndugu katubu ndani ya siku 47 ,vinginevyo Mungu atashughulika na wewe,Mungu alimkataa Makonda wapi?Watu kwa uovu wenu mnamkandia na kumsingizia mambo lukuki bila ushahidi wowote, halafu mnasema Mungu kamkataa,unafiki mtupu.Wewe yote unayojifanya unayajua kuhusu Makonda umesikia tu mitaani,wala huna ushahidi wowote,acheni ujinga.