Paul Makonda na Mrisho Gambo wako katika vita kubwa Arusha

Makonda ni mtu wa kufuta ugomvi wakati wote, ingawa gambo naye wacha anyooshwe alipo kuwa mkuu wa mkoa arusha alijitutumua sana
 
CCM kupitia kamati zake tayari wameshatuma taarifa za mtifuano huo na kushauri suluhu pekee ni kuanzisha majimbo mawili ya uchaguzi katika jiji la Arusha.
Yaani majimbo mawili Arusha ili Makonda na Gambo wote wapate pa Kugombea, halafu wananchi wabebeshwe gharama za mishahara yao🤔😚

Hii CCM haitakuwa seriaz kuja na pendekezo hilo. Kwani wote wawili wasipokuwa wabunge nini kitakosekana Arusha?

Ila pia wakichagua Makonda itawafaa zaidi wanaArusha
 
Tatizo ni viwango vya elimu, viwango vikifanana ubishi kidogo. Vikitofautiana ubishi hautaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…