Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Acha uongo kawadanganye walugaluga wenzako huko

Kambona na Mkapa wapi nawapi?
Hata Mimi nimewaza sana kwamba wakati kambona yupo madarakani mbona kama mkapa alikuwa TEENAGER early Twenties mleta hii stori atutajie mwaka tufanye hesabu vinginevyo utakuwa uongo mchafu
 
Hata Mimi nimewaza sana kwamba wakati kambona yupo madarakani mbona kama mkapa alikuwa TEENAGER early Twenties mleta hii stori atutajie mwaka tufanye hesabu vinginevyo utakuwa uongo mchafu
Ametoa source.
 
Unaweza kuwa Sawa ila kuna mambo kadhaa inabidi ujue..yawezekana aliyesemwa tayari anajua ila alitafuta namna ya kufikisha ujumbe Kwa watesi wake bila kuwadhuru..hapo umesema Nyerere alipogundua ikawa historia yeye na kambona..huyu alitaka kuwastopisha tu bila kuwafanyia ubaya wowote.
 
Kama alitaka kuwasimamisha kwa nini asiwaaambie au kuandaa kikao cha ndani kati yao mawaziri na rais?

Wewe bado huelewi kuwa hizi ni siasa for public consumption, sio tatizo la viongozi kutoelewana?

Hujaelewa kuwa hii ni kampeni ya 2025 ishaanza, ndiyo maana unasikia hizi habari na zile za Mabeyo?
 
MAKONDA MCHONGANISHI SANA ANEUMIZA WATU WENGI KIPINDI CHA UTAWALA KATILI WA MAGUFULI HAFAI KUWA KIONGOZI
Kama kweli Makunda ni mtu mwema na hasa alikuwa na lengo lakumsaidia Mama angefuata hatua hizi:
1: Angewafuata wale wote wanaomtukana na wanaolipa fedha Kwa watukanaji nakuwaambia siyo tabia njema kumtukana Rais , kama kunajambo wamwabie ili ajirekebishe.
2: Angemfuata Rais nakumwambia wazi wazi kuwa flani anamlipa Hela flani ili wakutukane, na watukanaji ni flani na flani waite waonye.
3: Angeweza pia kuwaambia watu wa intelligence wawafuatilie na wakomeshe tabia hiyo
 
Huwezi kupata mtu wa kufanya nae kazi ambaye hajipendekezi kwako kama bosi. Hiyo ni kudanganya wasiojua.
 
Paul makonda lazima alikwea kizimba. Wengi hatujui nini kinahojiwaga na muhojiwa anapaswa kutwii vipi. Ila kwa Paul lazima atakuwa na kujiona ni mteule.

Kiufupi ajitathimini sio kila nyakati unapaswa kufanya kila kitu.

Nahisi saa 3 za mahojiano alipata kibano kwa maneno na kuona anaweza akafanya apendavyo.

Binafsi sion kama anafanya sawa au sisawa ila ana hulka ambayo sidhani kama ataicha... tabia zingine ni za kuzaliwa nazo. Huwez tegemea mtu akaiacha kirahisi.

Kimsingi tume ilipaswa kumuita tangu alivyoanza kuwapigia simu mawaziri.....

Moja wa mawaziri aliowapigia simu hadharani akitoa oda ni Mama wa afya bi Ummy...Huyu wa ardhi jamaa wa ukonga. Na baadhi wachache aliowamudu. Hakuweza kumpigia mH waziri mkuu na makamu mzee mpango. Ila nahisi alitamani apande juu juu zaidi yao.wote isipokuwa Mama pekee.

Kwa hiyo siamini kuwa atakuja badilika japo masaa aliyowekwa si kitu chepesi. Alitoka jasho
 
Waha ndio chawa wakuu kuanzia kwa CMG mpaka wa Wasafi utawakuta... na yeye anajisogeza taratibu kila apato nafasi
 
ndani ya masaa ma 3 kikaangoni alikuwa akiwasiliana na maza kwa sms
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…