Hata Mimi nimewaza sana kwamba wakati kambona yupo madarakani mbona kama mkapa alikuwa TEENAGER early Twenties mleta hii stori atutajie mwaka tufanye hesabu vinginevyo utakuwa uongo mchafuAcha uongo kawadanganye walugaluga wenzako huko
Kambona na Mkapa wapi nawapi?
Mie mwenyewe hilo jina ndo nasikia Leo lakini hata SHETANI sidhani kama Kuna mtu hajawahi sikia jina hiliHivi nchi hii kuna mtu hamjui Makonda kweli?
Hahahahah.. balaa.
Maakonda na gambo sijui walisoma kozi moja? Kwa uchonganishi gambo anaongoza,halafu anafuatia makondaMAKONDA MCHONGANISHI SANA ANEUMIZA WATU WENGI KIPINDI CHA UTAWALA KATILI WA MAGUFULI HAFAI KUWA KIONGOZI
Zoom meeting is not end to end encrypted, andastendi wacham seingi?Kwahiyo kawasha v8 kachukua na posho ya safari, siwangemhoji kwa zoom meeting
🤣 🤣 🤣Duh! Aliyeitwa ni Christian Makonda lakini aliyekwenda ni Albert Bashite
Siyo anajiona,kweli ni mkubwa kuliko ccm wote,akiagiza kikosi kqzi chake kiingie field hata kinana atarudi arusha kama siyo kismayu kabisa.hapana chezea makonda wewe.Huyu anajiona mkubwa kuliko CCM
Ametoa source.Hata Mimi nimewaza sana kwamba wakati kambona yupo madarakani mbona kama mkapa alikuwa TEENAGER early Twenties mleta hii stori atutajie mwaka tufanye hesabu vinginevyo utakuwa uongo mchafu
Tulia,we hujui lolote.We ni zombie, nchi hii mkuu wa majeshi ameondolewa, IGP ameondolewa, mkuu wa TISS, katibu mkuu kiongozi aliondoķa km jambazi, Makonda ni takataka gani.
Hakuna kifungu chochote cha sheria kinachozungumzia chawa na hivyo ni wazi hawezi kuvunja sheria kwa kuwa Mkuu wa machawa.Akiwa CHAWA mkuu wa Rais anakuwa amevunja kifungu gani Cha Sheria?
Hakuna kitu kama hicho nyie wajinga nduo mnamkuzaHao wanaomuhoji wote wanamuogopa. Itakuwa kama vile wao ndio wanahojiwa.
Makonda ni zimwi la kufugwa ambalo limekuwa kubwa kuliko wanaomfuga.
Mjinga Bi. Mkubwa wako alieenda kununulia mkorogo pesa ya P2 kupelekea juha kama wewe kuzaliwa.Hakuna kitu kama hicho nyie wajinga nduo mnamkuza
What point are you trying to make here?Mie mwenyewe hilo jina ndo nasikia Leo lakini hata SHETANI sidhani kama Kuna mtu hajawahi sikia jina hili
Unaweza kuwa Sawa ila kuna mambo kadhaa inabidi ujue..yawezekana aliyesemwa tayari anajua ila alitafuta namna ya kufikisha ujumbe Kwa watesi wake bila kuwadhuru..hapo umesema Nyerere alipogundua ikawa historia yeye na kambona..huyu alitaka kuwastopisha tu bila kuwafanyia ubaya wowote.Wakati Benjamin William Mkapa akiwa Mhariri wa Magazeti ya Serikali, akiwa katika kazi yake, alisikia maneno ya waziri mmoja, Oscar Kambona, akimsengenya rais, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Benjamin Mkapa hakupanda kwenye jukwaa lolote la kisiasa na kutoa habari hizo. Alimfuata rais Nyerere na kumpa hizo habari. Nyerere akamuhoji akitaka kujua uhakika wa habari hizo, kwa sababu aliona itakuwa vigumu sana kwa Kambona kumsema yeye Nyerere vibaya, akizingatia urafiki wao wa muda mrefu.
Kama mwanafalsafa aliyefuata methali ya Kirusi "Trust but verify", Nyerere alimuamini Kambona, lakini akataka kuhakiki mambo na kuweka watu waliomfuatilia, ambao walikuja kuthibitisha maneno aliyoyasema Mkapa kwa Nyerere.
Kilichofuata ni historia. Kambona alikimbia nchi na kwenda uhamishoni Uingereza alikokaa kwa miaka mingi sana.
Historia hii inatufundisha nini?
Kukosana viongozi kushawahi kutokea nchi hii, ila hakukutangazwa kwenye hotuba. Kutangaza kwenye hotuba ilikuwa ni papara inayoonesha kukosa mahesabu kama aliyokuwa nayo Benjamin William Mkapa.
Hii ndiyo tofauti ya mtu kama Mkapa aliyepanda ngazi mpaka kuwa rais na mtu kama Makonda ambaye anatafuta kiki za muda bila ya kuusoma mchezo wa muda mrefu.
Kama alitaka kuwasimamisha kwa nini asiwaaambie au kuandaa kikao cha ndani kati yao mawaziri na rais?Unaweza kuwa Sawa ila kuna mambo kadhaa inabidi ujue..yawezekana aliyesemwa tayari anajua ila alitafuta namna ya kufikisha ujumbe Kwa watesi wake bila kuwadhuru..hapo umesema Nyerere alipogundua ikawa historia yeye na kambona..huyu alitaka kuwastopisha tu bila kuwafanyia ubaya wowote.
Kama kweli Makunda ni mtu mwema na hasa alikuwa na lengo lakumsaidia Mama angefuata hatua hizi:MAKONDA MCHONGANISHI SANA ANEUMIZA WATU WENGI KIPINDI CHA UTAWALA KATILI WA MAGUFULI HAFAI KUWA KIONGOZI
Huwezi kupata mtu wa kufanya nae kazi ambaye hajipendekezi kwako kama bosi. Hiyo ni kudanganya wasiojua.Makonda anataka yeye ndiye awe chawa mkuu wa Rais Samia, anamlazimisha Rais amsikilize yeye sana kwamba yeye ndiye msema kweli, Mimi kwenye serikali yangu sitahitaji machawa wala watu wakujipendekeza kwangu” Hashim Rungwe
Kujiongoza tu hawezi, sembuse kuongoza wengine!Ukiachana na ujana,Makonda ni jembe na anaweza kuongoza nchi
ndani ya masaa ma 3 kikaangoni alikuwa akiwasiliana na maza kwa smsPaul makonda lazima alikwea kizimba. Wengi hatujui nini kinahojiwaga na muhojiwa anapaswa kutwii vipi. Ila kwa Paul lazima atakuwa na kujiona ni mteule.
Kiufupi ajitathimini sio kila nyakati unapaswa kufanya kila kitu.
Nahisi saa 3 za mahojiano alipata kibano kwa maneno na kuona anaweza akafanya apendavyo.
Binafsi sion kama anafanya sawa au sisawa ila ana hulka ambayo sidhani kama ataicha... tabia zingine ni za kuzaliwa nazo. Huwez tegemea mtu akaiacha kirahisi.
Kimsingi tume ilipaswa kumuita tangu alivyoanza kuwapigia simu mawaziri.....
Moja wa mawaziri aliowapigia simu hadharani akitoa oda ni Mama wa afya bi Ummy...Huyu wa ardhi jamaa wa ukonga. Na baadhi wachache aliowamudu. Hakuweza kumpigia mH waziri mkuu na makamu mzee mpango. Ila nahisi alitamani apande juu juu zaidi yao.wote isipokuwa Mama pekee.
Kwa hiyo siamini kuwa atakuja badilika japo masaa aliyowekwa si kitu chepesi. Alitoka jasho