Akina dada acheni kutumia hela za watu huku na kule, vijana siku hizi wanatafuta hela kwa taabu sana, unapokula hela ya Mtu kibwege lazima damu ikutoke.

Humpendi mtu pita pembeni endelea na unayempenda, tabia ya kupenda hela za watu ni ufala, kama uliyempenda ni kapuku hakidhi mahitaji komaa naye tu kipenda roho.
 
Kwani hiki kifo chanzo ni pesa maana wa bongo wape picha 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…