Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Nawaambia hawaelewi kaka mkubwa.
Bila kulielewa hilo wataendelea kumalizana tu!

Sad!

Screenshot_20240523_191529.jpg
Screenshot_20240523_191536.jpg
 
Akina dada acheni kutumia hela za watu huku na kule, vijana siku hizi wanatafuta hela kwa taabu sana, unapokula hela ya Mtu kibwege lazima damu ikutoke.

Humpendi mtu pita pembeni endelea na unayempenda, tabia ya kupenda hela za watu ni ufala, kama uliyempenda ni kapuku hakidhi mahitaji komaa naye tu kipenda roho.
 
Akina dada acheni kutumia hela za watu huku na kule, vijana siku hizi wanatafuta hela kwa taabu sana, unapokula hela ya Mtu kibwege lazima damu ikutoke.

Humpendi mtu pita pembeni endelea na unayempenda, tabia ya kupenda hela za watu ni ufala, kama uliyempenda ni kapuku hakidhi mahitaji komaa naye tu kipenda roho.
Kwani hiki kifo chanzo ni pesa maana wa bongo wape picha 😁😁
 
Back
Top Bottom