Ukiwaza gharama na muda uliotumia, mhhhhh I see inaumaaaaaa. Hata hivyo nitapata mwingine jipe moyo, jifariji maisha ndivyo yalivyo
 
Kwaniniujenge kwenye hifadhi ya barabara?
 
Nakumbuka yule dada aliyemchoma moto boyfriend wake kule Mbezi miaka michache iliyopita.
 
Sio grocery tu biaahara yoyote ya kuuza pombe bar, liquor store n.k wanawake wanabanduliwa sana. Juzi kati kuna mwana alitaka kupita na baamedi kafanya cost analysis akaona akaushe tu baada ya siku mbili tatu tukapewa taarifa nyeti kwamba yule baamed ana ukimwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…