Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kamwahi noma sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa ndio kuna hadithi tamu.. Kwa hiyo alikuwa na mbeba zege wa kumpelekea moto na akawa na Sponsor wa kugharamia maisha yake.. Kilipoumana Mbeba zege akasepa na ugali..Jamaa mwenyewe mbeba zege.fundi ujenzi.hata walikuwa hawaendani
Your pussyHer pussy or your pussy?
Huyo Ngosha mwenzangu fala sana,hivi kweli modeli hiyo ni ya kuwekeza kweli? Huyo ni wa kutolea kutu tu basi. Mtu anaoneka chawote kabisa.Pumzika kwa Amani shoga yangu
Kashobokea huo mkorogoMbona kazi yenyewe chafu tu
Hebu lete yako safi tuone 🤣🤣Mbona kazi yenyewe chafu tu
Mzuri dada wa watu acheni ngenga 😂😂Kashobokea huo mkorogo
Kwaniniujenge kwenye hifadhi ya barabara?Evidence ipo, wanaume wengi wanahudumia wanawake na ndio sababu inawafanya waumie zaidi wakiachwa au kusalitiwa
Mtu anakumbuka huduma, pesa alizowekeza kwa mwanamke maumivu yanawazidia
Inahitaji mtu mwenye moyo mgumu kuweza kukabili hizo hisia za uchungu
Wenye moyo mdogo ndio hawa wanaotoa uhai wa wenzao.
Aaah wapiii!!Mzuri dada wa watu acheni ngenga 😂😂
Pisi zote hizi utakaaje na pisi moja tu,hayo ni matumizi mabaya ya uanaume.Yesu anataka ukae na mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida ya afya ya akili ni kubwa mno , inabidi kabla ya kujihusisha na mtu utafiti wa kina ufanyike.
Hayo ma makeup tu hamna kitu hapoHuyo dada kama ndio huyo kwenye picha zilizotumwa sioni hata kama kwenye u beauty kama yupo.
On what groundsIf she cheated it is ok to eliminate her.
Nakumbuka yule dada aliyemchoma moto boyfriend wake kule Mbezi miaka michache iliyopita.Sometimes anaeua ndie victim ameshindwa kupambana na mshtuko wa akili. Mbona hata wanawake wanaowafanyia wanaume matukio ya ukatili ya namna hii wapo wengi sana sio issue ya wanaume tu siku hizi.
Let us not normalize domestic abuse kuwa ni issue ya wanaume tu. Maana naonaga matukio ya namna hii wakifanya wanawake comments zinakuwa za kistaarabu na utani mwingi na inakuwa kama ni habari ya Comedy but akifanyiwa mwanamke inakuwa kama habari ya kutisha sana.
Lets fight domestic abuse for all.
The Almighty Himself ordered it.On what grounds
Sio grocery tu biaahara yoyote ya kuuza pombe bar, liquor store n.k wanawake wanabanduliwa sana. Juzi kati kuna mwana alitaka kupita na baamedi kafanya cost analysis akaona akaushe tu baada ya siku mbili tatu tukapewa taarifa nyeti kwamba yule baamed ana ukimwiIla kusema ukweli wanawake wenye glocery hasa hizi frame wanabanduliwa sana.
Ukiwa na kawaida ya kupitia jioni unapiga zako bia 4 unatoa nyekundu na kuondoka, cha kwanza atataka kukujua.
Baada ya kukujua mtazoeana, baada ya hapo ataanza kukupa siri za biashara yake na changamoto. Yaani atajiongelesha kwamba akipata kiasi fulani hivi angefanya hivi ila tatizo msingi hautoshi na kausha damu anaogopa. Yaani ni kama anakopa indirect way.
Hapo baharia unacalculate risk za kumpa msingi kwa return ya mbususu kama inalipa.
Isipolipa unajikataa na wewe, ila ikilipa unamwambia siwezi kukukopesha mtoto mzuri kama wewe, nakupa msaada wa masharti nafuu kama ya Marekani.
Ukishasema hivyo mnakuwa mmeshaelewana .