Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Leo hakuna Gazeti la kusifia kaona aje na Story ya Mrema naona Sponsor kamtuma😁😁🤣Baada ya kukosa uenyekiti kanda,kila mtu amekuwa mbaya.Dunia gunia.
Mwisho atauambia umma walitaka kumuua ili mradi aongee tu.Leo hakuna Gazeti la kusifia kaona aje na Story ya Mrema naona Sponsor kamtuma😁😁🤣
Wahenga walisema 'tuweke akiba ya maneno' maisha ni safari ndefu sana.Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwenye hiyo mikutano asisahau kumshukuru Abduli kwa kumpa $ 500,000. zilizomshawishi kuondoka ChademaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu msikilize Mrema kapangua Uzushi wote unaosukwa na CCM na Wahamiaji wake.😅Mwisho atauambia umma walitaka kumuua ili mradi aongee tu.
Apuuzwe TuCHADEMA wasimjibu chochote
Kaona mikutano haitoshi kageukia mitandao ya kijamiiNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CHADEMA wasimjibu chochote
Kumuota na kumtajataja X 24/7 sio dalili nzuri sanaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Usijali waridi wa Moyo wangu.Wewe ndiye Mboni Yangu na ni lazima Uwe Mke wa Mheshimiwa.Wakina Evelyn Salt watakuwa wanakusalimia kwa heshima muda wote huku wakibubujikwa na machozi ya furaha.Ebu jikite kwenye kujipigia promo mwenyewe.
Nataka kua mke wa mheshimiwa na mimi..!
Ameshasema kuwa akizungumza yote basi hakuna atakayebakia CHADEMAApuuzwe Tu