Peter Msigwa: John Mrema ni moja ya watu wa hovyo ndani ya chadema, ni shamba boy wa mwamba

Peter Msigwa: John Mrema ni moja ya watu wa hovyo ndani ya chadema, ni shamba boy wa mwamba

Wewe kumbe mpumbavu kabisa rushwa inawekewa ushahid kama unanunua shamba, hivi zinakutosha kweli wewe, ndiyo maana huteuliwi huna akili hata kidogo.
Kwa hiyo ukienda mahakamani utaweke pua yako kama ushahidi 😃😃😃
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Personal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikra
 
Personal attacks ni siasa za kishamba sana. Halafu kijitu kizima kinajifanya kichungaji huku kinaendesha siasa Za maji taka. Msigwa keshakuwa mtumwa wa fikra
Utapata laana kwa kumtukana mtumishi wa Mungu .
 
Hakuna swali umeuliza umeandika utoto mimi siyo mtoto mwenzako
Wewe ni zaidi ya mtoto.maana mtoto huwa ana akili na unaweza kumueleza kitu au akakuleeza kitu na ukaelewa.ila wewe upo upo tu kama debe tupu linalopiga kelele
 
Back
Top Bottom