CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mbona ameshamaliza hadi anarudia rudia hana jipya huyo tumbili, amenunuliwa kama bidhaa na hela ya Abduli.Ameshasema kuwa akizungumza yote basi hakuna atakayebakia CHADEMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ameshamaliza hadi anarudia rudia hana jipya huyo tumbili, amenunuliwa kama bidhaa na hela ya Abduli.Ameshasema kuwa akizungumza yote basi hakuna atakayebakia CHADEMA
Hilo siyo jibu.kikubwa ni kujibu tuhuma.CHADEMA wasimjibu chochote
Atunze akili alizobakiwa nazo.Anajianika na kuonekana kibweka tu.Mbona ameshamaliza hadi anarudia rudia hana jipya huyo tumbili, amenunuliwa kama bidhaa na hela ya Abduli.
Wewe ndiye umemnunua? Ulimlipa wewe?Mbona ameshamaliza hadi anarudia rudia hana jipya huyo tumbili, amenunuliwa kama bidhaa na hela ya Abduli.
Abduli ndiye alimlipa, swali jengine tafadhalWewe ndiye umemnunua? Ulimlipa wewe?
Yeye anaongea ukweli anaoujuwa vyema.kumbuka ya kuwa mchungaji peter Msigwa anaifahamu vyema sana CHADEMA na Madudu yake yote. Sasa wewe ni nani mpaka umpinge Mchungaji na Mtumishi wa MUNGU?Atunze akili alizobakiwa nazo.Anajianika na kuonekana kibweka tu.
Simpendi msigwa ila kasema kweli kuhusu huyu jamaa huwa anaichukulia cdm kama ajira yake ya kudumu ni nimnafiki balaaNdugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.View attachment 3065994
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Alimlipa shilingi ngapi? Siku gani? Tarehe ngapi? Mwezi wa ngapi?Kwa njia ipi? Wakiwa wapi?kwa ushahidi upi?Abduli ndiye alimlipa, swali jengine tafadhal
Wewe unadhani Msigwa kaasisi Chadema 😄😄😄😄Ameshasema kuwa akizungumza yote basi hakuna atakayebakia CHADEMA
Mtumishi wa Mungu?The left-broken foot!Huyo aliyekosa shukurani kwa waliomuibua na kumlea ndiyo awe mkweli?Acha vichekesho aisee!Yeye anaongea ukweli anaoujuwa vyema.kumbuka ya kuwa mchungaji peter Msigwa anaifahamu vyema sana CHADEMA na Madudu yake yote. Sasa wewe ni nani mpaka umpinge Mchungaji na Mtumishi wa MUNGU?
Na jamaa anajichukulia utafikiri yeye ni Mwenyekiti Mwenza wa Mbowe na kwamba CHADEMA ni yeye na Mbowe ndio nguzo yake..Simpendi msigwa ila kasema kweli kuhusu huyu jamaa huwa anaichukulia cdm kama ajira yake ya kudumu ni nimnafiki balaa
Wewe si ni kada wa CCM kamuulize atakuba ganji kidogo. Unauliza maswali kama mtoto wa chekechea ndiyo maana huteuliwi una ubwege mwingi sana.Alimlipa shilingi ngapi? Siku gani? Tarehe ngapi? Mwezi wa ngapi?Kwa njia ipi? Wakiwa wapi?kwa ushahidi upi?
Mungu ndiye humuinua mtu na siyo mwanadamu.Mtumishi wa Mungu?The left-broken foot!Huyo aliyekosa shukurani kwa waliomuibua na kumlea ndiyo awe mkweli?Acha vichekesho aisee!
🤣🤣🤣🤣🤣Mnamfuatilia na kumuonea wivu.Na jamaa anajichukulia utafikiri yeye ni Mwenyekiti Mwenza wa Mbowe na kwamba CHADEMA ni yeye na Mbowe ndio nguzo yake..
Jibu hayo maswali jinga kubwa wewe 😃😃😃Wewe si ni kada wa CCM kamuulize atakuba ganji kidogo. Unauliza maswali kama mtoto wa chekechea ndiyo maana huteuliwi una ubwege mwingi sana.
Mwambie tumbili Msigwa yeye sasa ni kada wa CCM ajikite kueleza sera na mazuri ya CCM huu upuuzi kila akiamka anamuwaza Mbowe na Chadema tu inaleta shaka au aliondoka na mimba changa sasa anadai matunzoNa jamaa anajichukulia utafikiri yeye ni Mwenyekiti Mwenza wa Mbowe na kwamba CHADEMA ni yeye na Mbowe ndio nguzo yake..
Wivu wa nini ndugu yangu mtanzania. Mimi namuonea wivu ephen tu .huyo ukimgusa ndio nitaona wivu na kukurarua.🤣🤣🤣🤣🤣Mnamfuatilia na kumuonea wivu.
Acha aseme yote mpaka mbadilike maana ninyi ni madalali ya siasa.Mwambie tumbili Msigwa yeye sasa ni kada wa CCM ajikite kueleza sera na mazuri ya CCM huu upuuzi kila akiamka anamuwaza Mbowe na Chadema tu inaleta shaka au aliondoka na mimba changa sasa anadai matunzo
Mungu haji kumuibua mtu personally.Hutumia binadamu hawahawa.Mungu ndiye humuinua mtu na siyo mwanadamu.