Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

Cv ya Ashatu Kijaji japo kwa ufupi ndugu.

Screenshot_20210330-160441.png
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu hafai ni mpigaji tu huyo
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Mwigulu is obviously a criminal suspect, he is being accused of having masterminded the kidnappings and torture of some people whose views were perceived to be at variance with the then government of the retired president Kikwete.
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Nyie ndo mlikuwa mnachora madaraja na majabali nchi nzima eti Mwigulu Rais 2015. Hakuna mtu atampa wizara nyeti huyo mtesaji na muuaji
 
WAACHE WAPIGE RAMLI!!! HATA KIKWETE NA JINA LAKE LA NCHIMBI RAMLI YAKE HAIKUFAA!!! Samia Suluhu HASSAN SI MCHEZO!! MTAISOMA NAMBA.
Wewe ndo unapiga ramli..ulijua mungu wako ataendelea kuwa hai mumuongezee muda wa kutawala. Mungu akamfyekelea mbali
 
Uteuzi wa Dkt. Philip Mpango unaweza kuwa na tafsiri nyingi, mojawapo ikiwa ni kutaka kumpenyeza Charles Kimei kuwa Waziri wa Fedha.

Mpango ni mchapakazi, mnyenyekevu na Mzalendo hivyo anafaa kwa nafasi hiyo ili kumsaidia mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.

Kama Mpango anamlisha Mkurugenzi mstaafu wa CRDB ambaye aliiongoza vyema Benki hiyo lakini kikawa ni kichaka cha utakatishaji, basi tuendako safari itazidi kuwa ndefu.

Mwigulu Nchemba atafaa zaidi Wizara ya Fedha maana anao uzoefu na weledi katika majukumu hayo kutokana na kufanya kazi Benki Kuu na kisha wizara ya Fedha wakati wa Serikali ya JK.
Yaani huyuhuyu Lameck Madelu aliyefoji jina la Mwigulu Nchemba awe waziri wa fedha s ha utani basi .
 
Kimei tena? Wachaga watajaa hiyo wizara mpaka wafagiaji, hatutaki makabila yenye ubinafsi. Bora hata hiyo wizara atuletee mzenj , watu wastaarab na wasio majizi
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
CRDB si ni private entity mkuu? Kimei alistaafu mwenyewe, Nsekela ndio akapigiw kura na Mkutano Mkuu wa wanahisa wa CRDB, hakuteuliwa na Magufuli
Pia Magufuli ndio alimwambia Kimei atampangia kazi baada ya kustaafu kipindi anafungua tawi la benki kule Chato na hata kura za mani za CCM kimei hakushinda ila akateuliwa kugombea, nadhani kama angekuwa mchafu kiasi hicho asingebebwa na Magufuli na wala asingekuwa mbunge
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
absolutely aisee
 
Wizara ya Fedha iongozwe na Rais tu tujue moja maana hata wakati wa JPM Dr. Mpango alikuwepokuw.

Come to think of it, hii teuzi ya Mpango huenda kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia. Nadhani kwa Waziri wa Fedha tunaweza kuwekewa outsider (mtu kama Dorothy Gwajima) asiye na clue ili wamcontrol kwa remote
hakuna kabisa. hakuna kubahatisha pale wala kujaribu. unaweza kuangusha nchi hivi hivi kwa kuweka vinyago pale
 
Kimei hawez wekwa pale hata sku1...mzee baba alimtoa pale na kumweka nsekela kwa sabab maalum....kwahyo sahau kuhusu kimei....hata huyo mwigulu hawez pewa asimamie pesa...hapo anahitajika mwenye hofu ya mungu na mwenye historia safi

Mkimweka kimei ni kina mramba walewale
Kimei alifikia muda wa kustaafu
 
Back
Top Bottom