Picha: Dar es Salaam waonesha uhalisia suala la bandari nchini. Viongozi wajitafakari sana

Picha: Dar es Salaam waonesha uhalisia suala la bandari nchini. Viongozi wajitafakari sana

Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,

Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.

1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.

2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.

Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.

Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.

Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.

Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!

Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.

Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.

Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.

Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.

Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.

View attachment 2699597
Usile peke yako, wagawie ns wenzio.
 
Nimeona ninyanyue tu mstari huo kueleza kwamba umepoteza muda bure kabisa kuandika yote uliyoandika hapo, nami nikisikitikia muda wa kusoma andiko la namna hii.

Ningeanza na kutazama mwandishi ni nani, nisingepoteza muda wangu hapa.

Wewe ni mmoja wa lile kundi maalum la "uandishi wa mitandaoni"? Hawa waajiri wenu kweli wanazo pesa za kuchezea hovyo!
Hii ID uliyotumia kuandika comment hii ni ID yako ya ngapi?

Maana wapingaji mna ID zaidi ya moja ambazo mmefungua kwa ajili ya kuhadaa watu kwamba mko wengi, na wakati kiuhalisia hamfiki hata watano.

Mkutano wa juzi umewaumbueni, hili ni funzo kwa wale wanaowatumia vocha PM ili mtetee matumbo yao kupitia bandari.
 
Utapindisha na Kupindisha kuwa suala hili ni la CHADEMA peke yake. La hasha, ni suala la Watanganyika

Sijifichi mimi ni CCM na ukifuatilia sana sikubaliani na sera nyingi za CHADEMA na za CCM ila natambua mchango wao CHADEMA kuwa ni mkubwa na wenye umakini na manufaa kwa Taifa letu likija suala la Checks and Balances si hivyo tu Wengi ambao wanaopinga suala hili la Bandari wanatoka kona zote za Tanzania, wewe na genge lako ndio mnaonzaisha ma UZi ya utenganishi kwa lengo la kuhadaa tu.

Hachaguliki huyo 2025
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe ila watanzania tumewapuuza wachumia tumbo wote wanaotumiwa na wakwepa ushuru na kodi wa bandari.

Kikubwa serikali na bunge dp world muda wowote wanakuja kuanza kazi. Hizi porojo na takataka zingine zitaishia jalalani
 
Hii ID uliyotumia kuandika comment hii ni ID yako ya ngapi?

Maana wapingaji mna ID zaidi ya moja ambazo mmefungua kwa ajili ya kuhadaa watu kwamba mko wengi, na wakati kiuhalisia hamfiki hata watano.

Mkutano wa juzi umewaumbueni, hili ni funzo kwa wale wanaowatumia vocha PM ili mtetee matumbo yao kupitia bandari.
Jaribu kukumbuka umekutana na ID hii mara ngapi tokea umeingia JF hapo utaelewa ID inahusu nini.
Watu wa aina yako mnajionyesha kuwa majuha sana.
 
Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,

Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.

1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.

2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.

Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.

Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.

Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.

Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!

Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.

Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.

Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.

Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.

Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.

View attachment 2699597
Bila shaka unaumwa ugonjwa wa ngiri
 
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe ila watanzania tumewapuuza wachumia tumbo wote wanaotumiwa na wakwepa ushuru na kodi wa bandari.

Kikubwa serikali na bunge dp world muda wowote wanakuja kuanza kazi. Hizi porojo na takataka zingine zitaishia jalalani
Hakuna ulichokisema hapo zaidi ya mapovu kukutoka kwa hasira.
Katafute kazi.
 
Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,

Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.

1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.

2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.

Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.

Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.

Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.

Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!

Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.

Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.

Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.

Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.

Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.

View attachment 2699597
CHADEMA hawajitambui. Tamko la mwaipopo tu limewamaliza je alisimama mwislamu mwenye ushawishi zaidi so CHADEMA itazikwa ktk kabiri la sahau?
 
Jaribu kukumbuka umekutana na ID hii mara ngapi tokea umeingia JF hapo utaelewa ID inahusu nini.
Watu wa aina yako mnajionyesha kuwa majuha sana.
Acha hasira kijana, uhalisia unaonesha kuwa wapinga mkataba ni wachache san tena wenye ID kumi kumi totauti mitandaoni.

Hii haiwezi kusaidia chochote katika dunia ya leo, ni sawa na mtu anaejidanganya mwenyewe.

Umechagua kuwa upande wa wasaka tonge na wanasiasa uchwara, basi inabidi ukubaliane na matokeo kwamba kile mnachojaribu kukitengeneza cha kupinga pinga kila kinachofanywa na serikali hakina baraka wala support ya wananchi.

Ukitaka moyo wako uwe na amani basi kuwa mkweli, acha na magenge ya wanasiasa uchwara ambao wao wanaishi vizuri kupitia propaganda mfu kama hizo za bandari nk.

Juzi Temeke mmeumbuka kweli kweli. Wananchi wa leo sio wale wa 2009 ambao mliwatumia kama daraja kwa sababu ya kufikia mafanikio ya kisiasa.
 
Tatizo unasumbuliwa na ushabiki kwenye vitu vya msingi
Kitu cha msingi kipi sasa, mbona haukiweki ili mimi na wasomaji wengine tukione.

Wanasiasa uchwara walioumbuka juzi Temeke ndio wamekutengeneza ili kukufanya wewe uone wanachodanganya kuwa ni cha msingi. Pole sana
 
Unaleta picha za saa tano asubuhi, weka picha za saa 10 jioni uone watu walivyofurika.
Hiyo picha ni ya saa 9 na nusu. Weka wewe sasa hizo za saa 10 tuone kama kuna tofauti.

Mkubali tu kwamba watanzania wameshachoka kufanywa wajinga na wanasiasa uchwara wakishirikiana na viongozi wa dini wenye njaa.
 
Habari zenu wana JF na wazalendo wenzangu wote mliopo humu kwa ujumla,

Ndugu zangu wana JF, hapa nchini au duniani tunapozungumzia Mkoa wa Dar es Salaam basi ni ukweli ulio wazi kwamba ni kama vile tunakuwa tumeizungumzia Tanzania nzima. Nasema hivi kwa sababu kuu mbili.

1. Dar es Salaam ndio iliyobeba taaswira halisi ya nchi, ndio maana mkoa huu uliongoza mapambano yote ya kudai uhuru, na mambo mengine mengi ya kiserikali na kijamii yalifanyikia Dar es Salaam, kabla na baada ya uhuru.

2. Dar es Salaam ndio Mkoa uliokusanya makabila yote kutoka mikoa na maeneo mbali mbali ya nchi (kabila langu likiwa moja wapo wa wahamiaji wa Mkoa huu). Hivyo kila linalofanyika mkoa huu linakuwa limegusa kwa kiwango kikubwa mikoa mingine na watu wake kwa ujumla.

Sasa ukiona kiongozi au mtu maarufu anakataliwa katika mkoa wa Dar es Salaam, basi anatakiwa ajitafakari vizuri, kuliko kukimbilia kuwapa vijana vijihela na data za kuja mitandaoni kumsafisha na kutunga propaganda mbalimbali, sababu kuna uwezekano mkubwa wa kukataliwa nchi nzima.

Mwaka 2020 katika kampeni za uchaguzi mkuu, kuna chama kilimsimamisha mgombea kutoka ulaya, kwa kufikiri labda wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla watadanganyika, watetemeke na kumpa kura mgombea huyo. Lakini kumbe hali ikawa tofauti kwa kuanza kupuuzwa na wana Dar es Salaam na watanzania kwa ujumla, hivyo kupelekea mgombea huyo kutoka ulaya kuangukia pua katika uchaguzi ule.

Na yeye kwa aibu siku mbili tatu baada ya uchaguzi akakimbilia ulaya kwa kudanganya umma kuwa anasakwa na serikali ili iwe rahisi yeye kupewa hifadhi ya ukimbizi na pia kujitoa katika kashfa ya aibu ya kushindwa uchaguzi.

Watu wenye akili tulijiuliza, kama kweli alitakiwa kuuwawa, kwanini asingeliuwawa wakati wa kampeni, badala yake aje auwawe baada ya uchaguzi, tena uchaguzi ambao yeye ndo ameshindwa!

Hilo likapita, sasa likaja hili la bandari chama hicho kilichoangukia pua Dar katika uchaguzi mkuu, kikalivalia njuga na swala hili wakiamini kuwa lingewabeba katika mkoa huo wenye mamilioni ya watu.

Cha kushangaza, pamoja na kualika viongozi njaa wa dini, wanasheria uchwara na wanasiasa wachumia tumbo kutoka maeneo mbali mbali ya nchi lakini bado wana Dar es Salaam wakaendelea kukiadhibu chama hicho na genge lake bila huruma.

Ndio maana nashauri viongozi wa chama hicho wajitafakari upya kuhusu kuelekeo wao. Kuruhusu wapitisha madawa ya kulevya, wezi, wakwepa kodi na ushuru wa bandari wawatumie katika ajenda zao kwa sababu ya malipo madogo tu yanayoliwa na viongozi wachache wa chama lilikuwa ni kosa la kiufundi.

Pia hii style ya kusambaza vijana wenye ID kumi kumi mitandaoni, kwani katika mkutano huonekana watu na sio wingi wa ID zao. Mfano humu tulitangaziwa mkutano wa bandari pale temeke, masham masham mitandaoni yakawa mengi, lakini siku ilipofika watu hawakujitokeza kama ilivyodhaniwa.

Hii ni dalili kuwa hii pinga pinga ya bandari ni ya mitandaoni tu lakini mitaani na nchini hakuna anaepinga.

View attachment 2699597
Siku za zamani watu walikuwa wanashindana kushusha hoja za msingi zilizo fanyiwa tafiti za kina na mwisho zinazua mjadala wa kina.
Hakukuwa na ushabiki maandazi na hilo lilisababisha hata viongozi wa siasa, jamii na watu weledi wakachangia tena kwa ID zao halisi na kwa heshima.
Ila sasa hivi kuna mashindano ya kushusha pumba za kipuuzi na kijinga mpaka ukisoma unajuta kwa nini umepoteza muda wako kusoma.
Ona upupu huu! Mnadhani utakuwa umeandikwa kwa watu wenye akili?
Lazima ni watu wa aina hii tuu;
IMG-20230726-WA0012.jpg
 
CHADEMA hawajitambui. Tamko la mwaipopo tu limewamaliza je alisimama mwislamu mwenye ushawishi zaidi so CHADEMA itazikwa ktk kabiri la sahau?
Kwa mara nyingine tena Chadema na genge lao wameangukia pua 🤣🤣🤣
 
Atuwezi jitokeza sababu mbowe na cdm wanatafuta huruma tu
Mbowe na genge lake wameshavuta mamilioni ya shilingi kutoka Kwa waliokuwa wanakwepa kulipa kodi na ushuru wa bandari.

Alafu eti wanataka kuwatumia watanzania kusimama juani kupigania ajenda mfu zao, na wakati hela wamekula wao na familia zao.
 
Jingine hili huku. Akili imeishia kwenye kuolewa na ngono. Nimeamini umri hauongezi akili. Kama ulikuwa huna akili tangu ukiwa mdogo utazeeka ukiwa hivyo hivyo!!
Siyo kila mzee ana hekima wapumbavu pia wanazeeka.
 
Siku za zamani watu walikuwa wanashindana kushusha hoja za msingi zilizo fanyiwa tafiti za kina na mwisho zinazua mjadala wa kina.
Hakukuwa na ushabiki maandazi na hilo lilisababisha hata viongozi wa siasa, jamii na watu weledi wakachangia tena kwa ID zao halisi na kwa heshima.
Ila sasa hivi kuna mashindano ya kushusha pumba za kipuuzi na kijinga mpaka ukisoma unajuta kwa nini umepoteza muda wako kusoma.
Ona upupu huu! Mnadhani utakuwa umeandikwa kwa watu wenye akili?
Lazima ni watu wa aina hii tuu;
View attachment 2700184
1. Hoja za msingi zipi?
2. Zile za kuwarubuni watu kuwa Lowasa ni fisadi, na baadae kututaka tumchague tena huyo huyo fisadi?
3. Au zile za wanasiasa uchwara kurubuni watanzania kuwa waingie barabarani kuandamana huku wanasiasa uchwara hao watoto wao wakiwa ulaya na Marekani wanaishi na kusoma huko?

Ama kweli ujinga ni laana, maana kila mtu atakutumia kwa faida yake mwenyewe.
 
Kuna anko wangu alileta mzigo kutoka China figisu figisu alizokutana nazo pale bandarini bado nusu auziwe mbuzi kwenye gunia kwa kubadilishiwa mzigo.

Bahati nzuri anko nae mkorofi ileile ivyo jamaa wakanywea. Imagine kama angekuwa ni mtu kutoka Zambia au Rwanda hali ingekuaje
Yani bandari Bora apewe muarabu tu
 
Back
Top Bottom