Picha: Mjue Abdul Halim Hafidah Ameir, Mtoto wa Rais Samia

Ni mfupi kwa kimo ila ana uwezo mkubwa wa kufikiri, huyu kijana ana ushawishi na anaogopeka na wakuu wa taasisi wote.

Ukiwa na jambo lako ukafanikiwa kumuona basi simu yake moja na jambo lako litakuwa limepata ufumbuzi.

All in all si mjivuni kama baadhi ya watu wanavyomsema hapa.
 
KKKT yahubiri nuru ya Taifa mkesha wa Krismasi🀣🀣
Dini zinatupotosh... Kwa kweli
 
Usifananishe Nyerere na huyo taka taka mtoto wa Magufuli alikuwa anamiliki Nyanza construction. Unajua ni miradi mingapi walipewa na kujenga chini ya kiwango ? Usituletee Umbusu humu.
 
Thibitisha ubadhirifu wa huyo ndugu Abdul.....

Thibitisha ubilionea wake hapa....

Mjomba mkubwa....si familia ya JPM Wala Nyerere iliyo na hali ya chini kama tuliyonayo raia wengi.....

Do you have personal issues with Abdul?!!
Hivi unajua kuna watoto wa Nyerere bado wanalima musoma
 
Kwani ww hujui kwann anaogopeka na anaushawishi??
 
Smart na "down to earth" sana....
 
Ila hii issue ya wazanzibar kuongoza bara imekaa kiboya sana 😁😁😁, hapa nawaza kama awamu ya kwanza ni hivi je awamu ya pili ya mwisho? Basi huyo dogo atazikomba saaana
Zanzibar si nchi....

Wazanzibari ni watanzania kama ulivyo mnyiramba wewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…