Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Ameiba nini ?!!Mwizi tu kama kama yake Ridhiwan. No more no less. Mbona huo umaarufu wake hatukuusikia wakati wa Magufuli ambaye hakuendekeza familia katika kuibia umma?
Ushahidi upi wa huo wizi wake ?!!
Kwani watoto wa Magufuli ni machinga Kariakoo?!!!