LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasai
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasai