Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Ya kupikia...Sisi huwa tunajipaka tu ya mgando mm wote na familia nzimaView attachment 3190237
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kupikia...Sisi huwa tunajipaka tu ya mgando mm wote na familia nzimaView attachment 3190237
Ndio...Yale ya kwenye helmet?
Mkuu hebu nijibu kule bwana nmekuuliza swali, badala yake umekimbilia kuipa presha familia ya jamaa kuwa ina kaswende 😂😂😂pole mkuu hiyo ni Syphilis is a systemic disease wahi kituo cha afya utapona tu
![]()
Syphilis: Symptoms, cause and treatments
Learn about the symptoms of syphilis so you can get treatment before it causes long-term health problems.my.clevelandclinic.org
Scabies Hiyo. Kiswahili wanaita UkurutuHuu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()
Ni muhimu kupima vipimo vyote hivyo.Sijawahipima
Kapimeni kaswende. Sijasema mna kaswende.Huu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()
Scabies hii mkuu,mdau aliekwambia BBE yupo sawa, ila zingatia kuoga na kubadilisha nguo mashuka kila baada ya kupaka, izo nguo zifue na kuzipiga pass kabla ya kuzivaa ,au kuzitumia.Huu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()
Poleni sana. Huo ugonjwa unajulika kitaalamu kama SCABIES, kwa kiswahili unaitwa UKURUTU. Huwa unasababishwa na mdudu anaeitwa sarcoptes scabiei.Huu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()
Au wachome moto nguo zote wanunue mpya?Inawezekana ni scabies, tumia scaboma mwezi mmoja au zaidi, uoge na sabuni ya tetmosol. Nguo na mashuka mfue kwa maji ya moto.
tayari mkuu kule nimejibuMkuu hebu nijibu kule bwana nmekuuliza swali, badala yake umekimbilia kuipa presha familia ya jamaa kuwa ina kaswende 😂😂😂
Tetekuanga hiyo kanunue B.B.E mjipake ila mvumilie liharufu lakeHuu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()