Gentlewoman
Senior Member
- Aug 13, 2018
- 191
- 389
Ni mimi sijaelewa hapo au mkuu ulimaanisha dawa ya tube na si kuchua.Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233![]()
Tatizo la ngozi lipo sensitive sana mkuu kwann usiende Moja kwa Moja kwa daktari wa masuala ya ngozi,ili ajue tatizo nn kupitia vipimo.
Kama ni allergy mtajua kitu mnachotumia kwa kula au kwa vyovyote kinacholeta allergy.
Pia Kuna maambuzi ambayo Mmoja wenu huenda ametoka nayo nje,pengine ni watoto au na nyie wazazi,tunatembea mazingira tofauti na kukutana na watu tofauti.
Ni ushauri wangu tu.