PICHA: Naombeni kujua huu ni ugonjwa gani unaotutesa hivi mimi na familia yangu

PICHA: Naombeni kujua huu ni ugonjwa gani unaotutesa hivi mimi na familia yangu

Kuna mchepuko wangu watoto wake wote wameugua hvyo isipokuwa yeye,tena mwingine yaliingia mpaka puani,kateseka sana kuwaponyesha
 
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
Kama hii shida imewapata familia yote na mnaishi pamoja, uwezekano mkubwa sana ni maji mnayooga yanaingilina na maji machafu ya chooni. Kama mna kisima nyumbani chunguza maji ya hicho kisima, peleka hata maabara, na kama ni maji ya bomba fuatilia maungio ya hilo bomba hadi kufika kwako, itakua kuna leakage inayobeba maji machafu
 
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
Huu ni upele,kitaalamu unaitwa scabies,tumieni dawa inaitwa BBE.
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
Huu ni ugonjwa wa upele,kitaalamu unaitwa scabies, Tumia dawa inaitwa BBE.
 
Mkuu tumia manganese oil, mls 150,unapaka na purify manganese water, unakunywa, ndani ya siku 3,ugonjwa unaisha, ni tiba za kutoka uturuki, Niko mwanza nitakusaidia na gharama ni na nafuu, simu yangu ni 0768137881,asante
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
 
Mkuu tumia manganese oil, mls 150,unapaka na purify manganese water, unakunywa, ndani ya siku 3,ugonjwa unaisha, ni tiba za kutoka uturuki, Niko mwanza nitakusaidia na gharama ni na nafuu, simu yangu ni 0768137881,asante
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
 
Mkuu tumia manganese oil, mls 150,unapaka na purify manganese water, unakunywa, ndani ya siku 3,ugonjwa unaisha, ni tiba za kutoka uturuki, Niko mwanza nitakusaidia na gharama ni na nafuu, simu yangu ni 0768137881,asante
Dawa yake ni elfu mbili tu,na ni ya kupaka inaitwa BBE,tusimgeuze fursa ndugu yetu.
 
Huu ugonjwa ulitutokea wate mimi na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna

Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.

Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,

Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mimi wa mwisho.

Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
img_20250101_204446_420-jpg.3190234
Wahi haraka sana duka la dawa kununue BBE ni dawa ya kupika baada ya kuoga
 
Mkuu , Tafuta ile Bbe ila kwa ushauri zaidi nenda kaonane na mtaalam wa ngozi kabla mambo hayajawa mabaya zaidi
 
Watnzania kucheza na Afya tupo vizuri sana, badala uende kwa mwenye taaluma yake unauliza humu.... humu utaambiwa hadi utumie upupu kuogea, mwingine tumia Kucha za Mende kila Mtu ana lake
 
Back
Top Bottom