Jaribu hii kwanzaJaribu BBE dawa fulani ya upele kama sio allegy ya mafuta fulan hv nayahifadhi kwa jina
Possible reasonsHuu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
Yale ya kwenye helmet?Jaribu BBE dawa fulani ya upele kama sio allegy ya mafuta fulan hv nayahifadhi kwa jina
Kaswende ulipima?Huu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233
Nenda tu hospitali nzuri utapata matibabu, utaisha tu. Nimemuonea huruma mtoto.Huu ugonjwa ulitutokea wate mm na mke na watoto Ila nimetumia dawa mbalimbali lakini huu mwezi wa tatu naona tunaendelea kujikuna
Hasa kwa watoto wangu hasa pia usiku wanajikuna Sana tulienda hospitali hawakutupima Ila tu tuliambiwa dawa za kununua za kuchua.
Kama Kuna mtu anisaidie maana watoto ndo zaidi inawaathiri,
Ulianzia kwa mtoto Kisha kwamama na mm wa mwisho.
Sasahivi ndo najaribu dawa ya kimasaiView attachment 3190231View attachment 3190232View attachment 3190233