Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
sukuma gang kwishaaaa kama lipumba.Hiyo picha iweke full mbona umeikata,labda huo upande tusiona ndo Kuna nyomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sukuma gang kwishaaaa kama lipumba.Hiyo picha iweke full mbona umeikata,labda huo upande tusiona ndo Kuna nyomi
Yanaona aibu ile mbaya.yale mapumbavu ya sukuma gang yaje hapa.
😅😅😅ya lini hii? Mkuu imeikalia kooni CUFHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
😅😅😅Hata kilinge cha kahawa huwa kina watu wengi kuliko hicho cha Mzee Lipumba.
Hasira hasara.Le profu na dokta waliharibu heshima yao kisiasi.
Is this True?Moja ya victims wa Jiwe, alivuta mpunga yeye na Slaa wakakimbilia Rwanda kula bata.
Uchaguzi wa JPM kuwa Rais ulikuwa na Rwanda factor kama sponsor wa JPM.
Rwanda meddled our election kwa sababu ya bifu la kagame na JK, kagame aka sponsor JPM, mpaka akawa anawapa makazi watu wake
Mnanikumbusha mbali enzi zile za kulala ofisini ile sinema ya kihindi maana 'steering' hauawiHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Hiyo picha iweke full mbona umeikata,labda huo upande tusiona ndo Kuna nyomi
100%Is this True?
🤣🤣🤣Hapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Aisee watu mna mambo ha ha ha!Hata kilinge cha kahawa huwa kina watu wengi kuliko hicho cha Mzee Lipumba.
Picha hiyo ni Iringa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2020 na nilipita eneo hilo siku hiyo. Tangu hapo nikawa najiuliza huyu ni Professor kweli au aliiba mitihaniHapa ni Mheshimiwa Profesa Haruna Lipumba jukwaani:
View attachment 2550802
Enyi mliokuwa mnamshabikia, kumtelekeza huyu ndugu hivi awaelewe je?
Huyo mzee hana mshipa wa aibu profesa tumbo.Aibu Aibu Aibu!!!!
Kakataje?kakaa na upande wa kiongozi mbele kule wanakaa watazamaji.Hata akiiweka nzima bado boksa itakuwa imeshuka tu mkuu.Usaliti ni shida.Hiyo picha iweke full mbona umeikata,labda huo upande tusiona ndo Kuna nyomi
Duh...!, hiyo ni photo technicalities mpiga picha amepiga shot ya upande usio na watu!, ila CUF akina sisi tulisema siku nyingi Kifo cha CUF hichoo... chaja! Upinzani kubaki CHADEMA pekee?
P