PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

Ukifanikiwq usiwaone wenzio wazembe.
Huo ni ugonjwa mbaya sana
Dah braza mimi hata sijayasema hayo uloyasema wewe please.Af tunavisema vile tunavyoviishi kulingana na mfumo wetu kiuhalisia.
Imagine (wala usitumie hisia,tumia akil ya kawaida tu) nimemaliza elimu ya chuo at 24 years huna kazi huna uwezo wa kuzalisha sasa hapo kusemwa vibaya kuko wapi mkuu??Kukosa pesa kwa hali hiyo ni jambo obvious tu.Usinielewe vibaya
 
Nikukumbushe tu hakuna anayependa kuwa tegemezi.
Na Mimi naamini kila mwanadamu Ana mipango yake ya maisha.
Haijalishi amefikia miaka mingapi.
JITIHADA HAZISHINDI KUDRA
 
Nikukumbushe tu hakuna anayependa kuwa tegemezi.
Na Mimi naamini kila mwanadamu Ana mipango yake ya maisha.
Haijalishi amefikia miaka mingapi.
JITIHADA HAZISHINDI KUDRA
Then this sounds personal..Kila lakheri mkuu.Endelea kusubiri KUDRA.Tukisubir wote kudra folen itakua ndef sana acha wengine tu opt JITAHADA
 
Maummar Gadafi akiwa na 26 alipindua Serikali Libya akawa Mkuu wa Nchi 1969

Bongo age hiyo anasokota Dred kijiweni na yupo kwa Mama Jongo anasubiri Ugali na Uduvi wa bure mchana
Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
 
Kwani akiwa chuo hawezi kufamya kazi nyingine ?? Jiongeze nawe
Use your brain for reasoning not your gut.
Putin was 20 years in 1973. How old was he when he joined the army and be in high school and University at the same time and still be able to come over here and be a trainer, go back to Russian in 75 to be awarded a law degree, then come down here and continue to train great armies like ours. It is an insult for a 20 year old to come añd train TPDF.
YOU GET THE POINT YOU NITWIT?
 
Acha kuwadanganya wenzako.Siku hizi kila Mwanafunzi anasajiliwa kwenye mfumo kwa PREM Number,sasa huo mchezo utaufanyia wapi?.
 
Tanzania tuna kizali cha kutembelewa na wapambanaji mfano Malcom X ,Fidel Castro ,Che Guevara nk

Cha ajabu nchi imekithiri wizi ,ufisadi ,uvivu ,uoga umasikini na ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na utakuta bado anakaa kwa shemeji yake aliyemuolea dada yake, kikiumana anatimuliwa yeye na dada yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaah.
 
Maummar Gadafi akiwa na 26 alipindua Serikali Libya akawa Mkuu wa Nchi 1969

Bongo age hiyo anasokota Dred kijiweni na yupo kwa Mama Jongo anasubiri Ugali na Uduvi wa bure mchana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…