Dah braza mimi hata sijayasema hayo uloyasema wewe please.Af tunavisema vile tunavyoviishi kulingana na mfumo wetu kiuhalisia.Ukifanikiwq usiwaone wenzio wazembe.
Huo ni ugonjwa mbaya sana
Dah braza mimi hata sijayasema hayo uloyasema wewe please.Af tunavisema vile tunavyoviishi kulingana na mfumo wetu kiuhalisia.
Imagine (wala usitumie hisia,tumia akil ya kawaida tu) nimemaliza elimu ya chuo at 24 years huna kazi huna uwezo wa kuzalisha sasa hapo kusemwa vibaya kuko wapi mkuu??Kukosa pesa kwa hali hiyo ni jambo obvious tu.Usinielewe vibaya
Then this sounds personal..Kila lakheri mkuu.Endelea kusubiri KUDRA.Tukisubir wote kudra folen itakua ndef sana acha wengine tu opt JITAHADANikukumbushe tu hakuna anayependa kuwa tegemezi.
Na Mimi naamini kila mwanadamu Ana mipango yake ya maisha.
Haijalishi amefikia miaka mingapi.
JITIHADA HAZISHINDI KUDRA
😂😂😂😂😂Amka usingizini... Usijifanye wakenya walivyodhaniaga Obama atawapeleka marekaniKwahiyo we are safe
Ndio hapo mkuu.Kina James kabarebe wanaongoza mishen nzito nzito za kivita wakiwa t 25 yrs wnakinuisha ila m bongo at that age hata hel ya bundle changamoto
mjingamimiMaummar Gadafi akiwa na 26 alipindua Serikali Libya akawa Mkuu wa Nchi 1969
Bongo age hiyo anasokota Dred kijiweni na yupo kwa Mama Jongo anasubiri Ugali na Uduvi wa bure mchana
Use your brain for reasoning not your gut.Kwani akiwa chuo hawezi kufamya kazi nyingine ?? Jiongeze nawe
Ah!!!,wapi hana ujanja huo.Hizo story za kuwasimulia watoto wenzio.inasemekana huyu jamaa ni immortal japo mimi siamini ila jamaa wanasema kapigana first word war.
Acha kuwadanganya wenzako.Siku hizi kila Mwanafunzi anasajiliwa kwenye mfumo kwa PREM Number,sasa huo mchezo utaufanyia wapi?.Rahisi sana fanya hivi mtoto aanze grade 1 akifika grade 2 kabla ya term ya pili kuisha mpeleke kayumba darasa la 3 then akiingia la darasa 4 baada ya mtihani mwaka unaofata mrudishe English medium tena grade 6 then atamaliza grade 7 kwa miaka 5 tu alafu mpeleke kenya secondary kule wanapiga 4 yrs only alafu then aende technical college kwa 4 yrs tena.Atakuwa amepiga jumla ya miaka 13 tu shuleni plus ni 3 ya kindergarten jumla 16 yrs kama akianza na miaka 3 akiwa na miaka 19 tayari ana professional yake ata akianza na miaka 5 sio mbaya kwani by 21yrs of age ana professional tyr
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nasikia ni shabiki wa Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania tuna kizali cha kutembelewa na wapambanaji mfano Malcom X ,Fidel Castro ,Che Guevara nk
Cha ajabu nchi imekithiri wizi ,ufisadi ,uvivu ,uoga umasikini na ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo tutembee kifua mberee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaah.Na utakuta bado anakaa kwa shemeji yake aliyemuolea dada yake, kikiumana anatimuliwa yeye na dada yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maummar Gadafi akiwa na 26 alipindua Serikali Libya akawa Mkuu wa Nchi 1969
Bongo age hiyo anasokota Dred kijiweni na yupo kwa Mama Jongo anasubiri Ugali na Uduvi wa bure mchana
First World War ilianza 1918-1919.inasemekana huyu jamaa ni immortal japo mimi siamini ila jamaa wanasema kapigana first word war.