PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

Pana swala gumu kidogo, Picha ilikuwa ya 1973 lakini google wameandika Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine. Anyway, nanyi mnaweza kutoa maoni yenu.

Hakika uwepo wake yeye sisi wote tumepona..,.hii picha itunzwe vizuri itatusaidia mbele ya safari maana kuna jirani yetu mmoja ameanza kuleta shobo kwa ndugu yetu kaka Vladimir Putin.
 
Vipi unajua kwamba kabila alikua anasapotiwa na Tz kwenye hiyo misheni?Usimsifievsana huyo jamaa
 
Maummar Gadafi akiwa na 26 alipindua Serikali Libya akawa Mkuu wa Nchi 1969

Bongo age hiyo anasokota Dred kijiweni na yupo kwa Mama Jongo anasubiri Ugali na Uduvi wa bure mchana
[emoji16][emoji16][emoji16] Kuna yule valentine stressa nae alifanya mapinduzi akiwa na miaka 25 tu .. wenzetu Wana pevuka kifikira wakiwa ktk age ndogo Sana
 
Ulaya na Asia miaka 21 tayari una professional fulani, lawama tuwatupie pia serikali ya CCM.mimi binafsi watoto wangu nitawarukisha madarasa alafu nawapeleka veta na baadae vyuo vya kati kwanza
Utamrukisha darasa wakati mitoto yako kichwani hamna kitu?
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Kuna yule valentine stressa nae alifanya mapinduzi akiwa na miaka 25 tu .. wenzetu Wana pevuka kifikira wakiwa ktk age ndogo Sana
Ulizia huyo Stressa unayemsifia yupo wapi siku hizi.
 
ukweli ambao wengi hawataki kuubali ni kwamba mfumo wa kutafuta elimu tz, kuanzia primary-chuo kikuu, ni time consuming.

miaka 7 primary + miaka 4 olevel + miaka 2 high level + miaka 3 chuo = 16. hayo ni matumizi mabaya ya muda.

mbaya zaidi kuna degree zinaenda mpaka miaka minne mpaka mitano.
 
You have hit someone hard with good arguments and examples. But in the end you have completely ruined it by calling that guy nitwit (a foolish person). If he knew english, he/she would answer you with arguments and examples. The problem with this language is that it comes with canoes, so it's just a matter of tolerance[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…