johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
tpid dictators of africa, badala ya ku deal na science ya ugunduzi wa vitu wanahangaika kutukuza madikiteita wenzaaAliyezinduliwa ni Kwame Nkrumah sio Julius Nyerere.
Marekebisho kwenye eneo la kichwa cha sanamu hakina mfanano na mlengwa mwenyewe Mwalimu Nyerere,
..ni jambo jema kuwa na sanamu ya Mwalimu Nyerere pale Addis Ababa Ethiopia, Lakini jambo jema kuna na sanamu yenye mfanano na Mwalimu Nyerere. * KAMA ITAWAPENDEZA SERIKALI ICHUKUE JUKUMU LA KUFANYIA MAREKEBISHO SANAMU HIYO kuendana na mfanano wa Mwalimu Nyerere hususani KICHWA NA SURA IWE KAMA YA MFANO WA MWALIMU NYERERE.
Sema we ndo unataka kuleta mjadala wa hovyo kabisa humuWatanganyika ni mabingwa wa kujadili mambo Madogo Madogo lakini yanayogusa uchumi wao hugeuka Chawa
Mjadala wa leo ni Sanamu ya Nyerere iliyozinduliwa Ethiopia
Leo Dr Kigwangalla anamiminiwa sifa [emoji23][emoji23]
kama ni kigwangala ndio kahusika kuichonga basi ndio yaleyale ya burigi yanajirudia πTafadhali sana viongozi wetu mliopo Ethiopia kabla hamjarudi nyumbani rekebisheni sanamu inayoitwa ya Nyerere.l iliyozinduliwa katika makao makuu ya Umoja wa Africa.
Sanamu hiyo haileti taswira ya Mwalimu Nyerere kabisa, huyo ni mzee Kambulucha na sio Nyerere!
Kwahiyo huyo alosimama na Mwalimu Nyerere ni muislam yupi? Najua ndicho kilichojificha moyoni mwako.SANAMU YA JULIUS NYERERE AFRICAN UNION
Sanamu ya Mwalimu Nyerere iliyoziunduliwa Addis Ababa imeninyong'onyeza kupita kiasi.
Imenivunja nguvu kwa sababu hiyo sanamu huyo si Julius Nyerere.
Nimeingia Maktaba kutafuta picha ambayo Mwalimu itamuounyesha kanyanyua mkono ili ifanane na picha ya sanamu ili watu wafananishe na waone tofauti kubwa iliyoka baina ya Nyerere sanamu na Nyerere mwenyewe halisi alivyokuwa.
Kwa akili yako hii bora baba yako angetumia kondom au angemwagia njeUkombozi upi Bora tungebakia na wakoloni tungekuwa mbali kuliko wezi hawa.
Maisha ya waafrika yamekuwa duni sana baada ya uhuru.
Well put mkuu, kongole ChoiceVariableTanzania chini ya Uongo thabiti wa Mwl.Nyerere Ilimwaga damu ya watu wake(Wanajeshi walioenda kupiga Nchi zingine? Ilitumia Rasilimali Fedha na muda Kwa Ajili ya kufundisha na kusaidia Nchi mbalimbali ambazo zilikuwa zinapambana na Wakoloni.
On top of that tulihifadhi Hadi Wakimbizi wao na kuwalisha Bure lakini juhudi zetu hizo hazijawahi kutambuliwa na kuthaminiwa vya kutosha hapa Afrika.
Baada ya miaka Mingi baadae eti Leo AU ndio Wanakumbuka kujenga Sanamu ya Mwl.Nyerere kumpa heshima ambayo alistahili miaka Mingi iliyopita.
Nelson Mandela Kwa msukumo wa Wazungu ndio anaabudiwa hapa Afrika wakati hakuna chochote Cha maana alichosaidia Afrika zaidi ya kuwasamehe Wazungu.
Nchi ambazo Tanzania imezisaidia Moja kwa Moja ni South Africa,Namibia,Angola, Mozambique, Zimbabwe, Zambia, DR Congo, Uganda, Burundi na Rwanda.
Hata Sasa tunaendelea kuzisaidoa Nchi nyingi tuu kwenye masuala mbalimbali.
View attachment 2907859View attachment 2907860View attachment 2907861
My Take
Tanzania tunastahili Zaidi na ilitakiwa hata AU HQ iwe Tanzania sio Ethiopia.
Ni vyema AU Secretariet ikafikiria kuweka Makao Makuu ya baadhi ya taasisi zake Tanznaia Ili kuenzi mchango wa Nchi yetu.
Hakuna Nchi nyingine iliyojitolea kuzidi Tanzania.
Ukweka akili yako kuwa hiyo sanamu ya Baba wa Taifa utaishia kuamini hivyo. Ninaamini baba wa Taifa hakuwa na picha moja kwa kuwa alipigwa picha nyingi katika maisha yake. Hiyo sanamu inatoka katika moja ya appearances zake.Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 βοΈ
Teeh! [emoji3][emoji3]Huyo nusu Nyerere, nusu Prof. Lumumba[emoji3]. Hamna Nyerere hapo.
Taswira ya Sanamu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere iliyowekwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU), Addis Ababa kwa ajili ya kutambua mchango wake katika masuala ya ukombozi Barani Afrika tarehe 18 Februari, 2024.
View attachment 2907853
View attachment 2907854
View attachment 2907855
Ikumbukwe kuwa katika uzinduzi wa hifadhi ya Burigi iliyoko Wilaya Chato mkoani Geita Waziri Kigwangala, alimkabidhi Rais Magufuli mfano wa sanamu la Mwalimu Nyerere, huku watu mbalimbali wakidai sanamu hilo halina uhalisia na Mwalimu Nyerere.
View attachment 2907856
Written by Mjanja M1 βοΈ