Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

Picha: Unawajua watoto wa Ali Kiba? Kila mtoto na mama yake

sureet me ask u,how do u feel mkikwazana hapa?

ukweli sio jambo jema kukwazana, lakini wakati mwingine misunderstanding hutokea, and my expectation ni kuwa pale inapotokea ufafanuzi utolewe ku clear the misunderstanding then mambo yanasonga mbele, lakini leo haikuwa hivyo, the harder i tried the more people pushing into it, ndipo nilipogundua this wasnt the misunderstanding rather intentionally someone was waiting so long for this chance to happen.
 
ukweli sio jambo jema kukwazana, lakini wakati mwingine misunderstanding hutokea, and my expectation ni kuwa pale inapotokea ufafanuzi utolewe ku clear the misunderstanding then mambo yanasonga mbele, lakini leo haikuwa hivyo, the harder i tried the more people pushing into it, ndipo nilipogundua this wasnt the misunderstanding rather intentionally someone was waiting so long for this chance to happen.

thats how it is mine asante umenielewa
 
Wewe ni kiboko kuliko kiboko mwenyewe, yani Kiba aishi kama unavyotaka wewe?

Bob hii nchi haitawaliwi kijeshi ni free Country since 1961. Kafie Uyole.

Cc: Kiranga pita hapa uone akili za Mitanzania.

Wengine wana wivu hawa, walitaka kumzalia wanaona hawajapata nafasi.

Otherwise kwa nini kumshikia bango mtu na wanae?

Akiamua kutoa picha leo, kesho au awakane, ni yeye, watoto wake na mama zao.

Mimi napenda muziki wa Ali Kiba lakini nimechungulia humu nikaona sina cha kusema.
 
Kwahio umeamuwa kuanza kwa vitendo hizo swaga za kike ili tusikushangae?
Acha tu nikupuuze kama nilivyoamua kuwapuuza wenzako manake inaelekea siku hizi una mshawasha sana lakini kama kuna unachokitafuta, utakipata tu.
 
Wengine wana wivu hawa, walitaka kumzalia wanaona hawajapata nafasi.

Otherwise kwa nini kumshikia bango mtu na wanae?

Akiamua kutoa picha leo, kesho au awakane, ni yeye, watoto wake na mama zao.

Mimi napenda muziki wa Ali Kiba lakini nimechungulia humu nikaona sina cha kusema.
Kiranga,
Sina hakika kama umewahi kufuatilia kwa kina hata ukafahamu chanzo cha haya yote! Sina shaka kwamba unafahamu huu ni msuguano wa mashabiki wa Ali Kiba na wale wa Diamond! Sasa mashabiki wa Ali Kiba, wewe pitia tu post zao... wao kila siku ni kumtukan Diamond na kumkashifu kwamba ni malaya asiyefaa hata kidogo! Sasa mashabiki wa Diamond ndo wanahoji, huyo asiye malaya Ali Kiba inakuaje tena ana watoto watatu kwa mama watatu tofauti na wote amewamwaga! Wasichofahamu mashabiki wa Kiba au wanachojifanya hawafahamu ni kwamba, huyo Kiba wala hana tofauti yoyote na wasanii wengine sema ni mtu anayefanya mambo undeground lakini anakuja kuumbukiwa na watoto... sasa iwe unafanya kwa siri au usifanye kwa siri bado suala la umalaya litabaki pale pale! Hao hao mashabiki wa Kiba kwa sasa ndio wanaongoza kumkashifu Diamond kwamba anatembea na mama mtu mzima Zari wakati huyo huyo KIba alikuwa anatembea na Madam Rita... kwahiyo mwenye akili timamu anafahamu ni nani mzee kati ya Madam Rita na Zari!!!

Kutokana na hilo, ndio maana sie wengine kila siku tunasema ni upuuzi kufuatilia maisha binafsi ya mtu as if wenyewe ni wasafi! Sasa leo watu wanahoji inakuaje tena yule tunaembiwa kwamba ni malaika kumbe nae ni mzalishaji na kubwaga aliowazalisha... kwahiyo hamna suala la wivu hapo! Na kama unaamini ni wivu, basi hata wale mashabiki wa Kiba wanokesha kila siku kutangaza umalaya wa Diamond basi bila shaka nao wana wivu na wangependa wagongwe wao!!!
 
Acha tu nikupuuze kama nilivyoamua kuwapuuza wenzako manake inaelekea siku hizi una mshawasha sana lakini kama kuna unachokitafuta, utakipata tu.

Yamekuwa haya tena Sheikh wangu? Control ur temper.
 
Kiranga,
Sina hakika kama umewahi kufuatilia kwa kina hata ukafahamu chanzo cha haya yote! Sina shaka kwamba unafahamu huu ni msuguano wa mashabiki wa Ali Kiba na wale wa Diamond! Sasa mashabiki wa Ali Kiba, wewe pitia tu post zao... wao kila siku ni kumtukan Diamond na kumkashifu kwamba ni malaya asiyefaa hata kidogo! Sasa mashabiki wa Diamond ndo wanahoji, huyo asiye malaya Ali Kiba inakuaje tena ana watoto watatu kwa mama watatu tofauti na wote amewamwaga! Wasichofahamu mashabiki wa Kiba au wanachojifanya hawafahamu ni kwamba, huyo Kiba wala hana tofauti yoyote na wasanii wengine sema ni mtu anayefanya mambo undeground lakini anakuja kuumbukiwa na watoto... sasa iwe unafanya kwa siri au usifanye kwa siri bado suala la umalaya litabaki pale pale! Hao hao mashabiki wa Kiba kwa sasa ndio wanaongoza kumkashifu Diamond kwamba anatembea na mama mtu mzima Zari wakati huyo huyo KIba alikuwa anatembea na Madam Rita... kwahiyo mwenye akili timamu anafahamu ni nani mzee kati ya Madam Rita na Zari!!!

Kutokana na hilo, ndio maana sie wengine kila siku tunasema ni upuuzi kufuatilia maisha binafsi ya mtu as if wenyewe ni wasafi! Sasa leo watu wanahoji inakuaje tena yule tunaembiwa kwamba ni malaika kumbe nae ni mzalishaji na kubwaga aliowazalisha... kwahiyo hamna suala la wivu hapo! Na kama unaamini ni wivu, basi hata wale mashabiki wa Kiba wanokesha kila siku kutangaza umalaya wa Diamond basi bila shaka nao wana wivu na wangependa wagongwe wao!!!

Kumfuatilia mwanamme mwenzako ana watoto wangapi kwa wanawake wangapi kwangu kunakaribia kuwa sawa na kutaka kumzalia na wewe.
 
@Avemaria , do you remember this my dear:
Nikakujibu: Lakini na wewe leo badala ya kupita tu, cheki hapa: Siku niliyokuwa nimewaka humu jamvini, ni pale ugomvi wa humu jamvini akatokea mpumbavu akafikia kumuita mama yangu mzazi kwamba changu doa... just imagine, ubishi wa JF mtu anamwingiza hadi Bi Mkubwa aliye nyumbani ambae hata hiyo Jamii Forums haijui... lakini uliniona ni kama mtu ninayekomalia mambo unnecessarily lakini wewe leo yamekukuta wewe binafsi, wala hajatajwa mama yako aliye nyumbani, cheki mitusi iliyokutoka hiyo!!!!!

Nimekukumbusha hayo ili ufahamu usidhani kwamba mtu siku anapo-panic na kuja juu basi ukaona huyo ni mkorofi mpenda shari na ndio maana nikakuambia wazi kwamba, haya mambo kama hayajakukuta ni rahisi sana kumuona mwingine ni mpenda shari!!

Binafsi, mimi na wewe zamani kidogo tuliwahi kutofautiana humu... tena in fact, sio kutofautiana, ilitokea lugha gongana lakini wewe ulishindwa kunielewa lakini pamoja na kufahamu kwamba sikukosa isipokuwa ulishindwa tu kunielewa, lakini bado nililazimika kuja PM na ku-apologize for misunderstanding!!
Nas did you really need to write this stuff?
 
@Avemaria , do you remember this my dear:
Nikakujibu: Lakini na wewe leo badala ya kupita tu, cheki hapa: Siku niliyokuwa nimewaka humu jamvini, ni pale ugomvi wa humu jamvini akatokea mpumbavu akafikia kumuita mama yangu mzazi kwamba changu doa... just imagine, ubishi wa JF mtu anamwingiza hadi Bi Mkubwa aliye nyumbani ambae hata hiyo Jamii Forums haijui... lakini uliniona ni kama mtu ninayekomalia mambo unnecessarily lakini wewe leo yamekukuta wewe binafsi, wala hajatajwa mama yako aliye nyumbani, cheki mitusi iliyokutoka hiyo!!!!!

Nimekukumbusha hayo ili ufahamu usidhani kwamba mtu siku anapo-panic na kuja juu basi ukaona huyo ni mkorofi mpenda shari na ndio maana nikakuambia wazi kwamba, haya mambo kama hayajakukuta ni rahisi sana kumuona mwingine ni mpenda shari!!

Binafsi, mimi na wewe zamani kidogo tuliwahi kutofautiana humu... tena in fact, sio kutofautiana, ilitokea lugha gongana lakini wewe ulishindwa kunielewa lakini pamoja na kufahamu kwamba sikukosa isipokuwa ulishindwa tu kunielewa, lakini bado nililazimika kuja PM na ku-apologize for misunderstanding!!
Nas did you really need to write all this stuff?
 
Kumfuatilia mwanamme mwenzako ana watoto wangapi kwa wanawake wangapi kwangu kunakaribia kuwa sawa na kutaka kumzalia na wewe.
Kwanza, tukumbushane kwamba suala la Kiba kuwa na watoto watatu kwa mama watatu tofauti sio jipya... kila anayefuatilia burudani anafahamu; so kama watu wangekuwa wanamfuatilia wangeweka hizo posts kuhusu hilo suala lakini watu walikuwa wanapotezea coz' wenye akili zao wanaona no upuuzi kufuatilia maisha ya mtu! Hata huyo aliyeleta hizo habari wala haionekani kwamba ni shabiki wa Diamond. Kwahiyo hoja ingebeba uhalali wa kwamba anafuatilwa angalau ingekuwa hao mashabiki wa Chibu kila siku wanaleta hiyo issue lakini huwezi kukuta... in contrast, haikuchukui dakika kadhaa kuona mashabiki wa Kiba wanavyohangaika na ugumba na umalaya wa Chibu.. kwangu mimi, huu ni upuuzi!

Pili, kama hilo ambalo hata mashabiki wa Chibu hawajawahi kulileta hapa na wameanza ku-commnt baada kuleta wenyewe lakini unaona hao ni sawa na wanawake waliotaka kuzaa na huy Kiba.. what about wanaume watu wazima ambao wanashinda jukwaani kila siku wakikesha kutangaza ugumba wa mwanaume mwenzao? Wanaume wanaokesha majukwaani kutangaza umalaya wa mwanaume mwenzao?

But all in all, hoja ya msingi hapa ni moja! Ni ujinga watu kuanza kushupalia maisha binafsi ya mtu ambae wala huna uhusiano nae! Mtu kama unampenda Kiba, penda muziki wake hayo mengine ni ya kwake and no one else' business! BInafsi, nafuatlia na kusikiliza muziki wa wote wawili ingawaje namkumbali zaidi Diamond kutokana na struggles zake! Hao wengine ambao wanakana kwamba wana chuki lakiniukifuatilia post zao zimejaa chuki lakini ukiangalia kwa makini hakuna kinachowajaza chuki zaidi tu ya kuonakwamba kijana anajituma na kupata mafaniko!! Lakini kwa upande mwingine, ikiwa kama Diamond anatembea na bi mkubwa au hana uwezo wa kuzaa (tena hizi ndo hoja za kipuuzi zaidi), hilo ni suala lake yeye na famili yake... Kwa mfano, mama mzazi ameonakana si mara moja akiwa amepiga picha na Zari... sasa ikiwa mama mzazi amekausha, wengine inawahusu nini? Au ndo kama conclusion yako inavyosema!?
 
Kiranga,
Sina hakika kama umewahi kufuatilia kwa kina hata ukafahamu chanzo cha haya yote! Sina shaka kwamba unafahamu huu ni msuguano wa mashabiki wa Ali Kiba na wale wa Diamond! Sasa mashabiki wa Ali Kiba, wewe pitia tu post zao... wao kila siku ni kumtukan Diamond na kumkashifu kwamba ni malaya asiyefaa hata kidogo! Sasa mashabiki wa Diamond ndo wanahoji, huyo asiye malaya Ali Kiba inakuaje tena ana watoto watatu kwa mama watatu tofauti na wote amewamwaga! Wasichofahamu mashabiki wa Kiba au wanachojifanya hawafahamu ni kwamba, huyo Kiba wala hana tofauti yoyote na wasanii wengine sema ni mtu anayefanya mambo undeground lakini anakuja kuumbukiwa na watoto... sasa iwe unafanya kwa siri au usifanye kwa siri bado suala la umalaya litabaki pale pale! Hao hao mashabiki wa Kiba kwa sasa ndio wanaongoza kumkashifu Diamond kwamba anatembea na mama mtu mzima Zari wakati huyo huyo KIba alikuwa anatembea na Madam Rita... kwahiyo mwenye akili timamu anafahamu ni nani mzee kati ya Madam Rita na Zari!!!

Kutokana na hilo, ndio maana sie wengine kila siku tunasema ni upuuzi kufuatilia maisha binafsi ya mtu as if wenyewe ni wasafi! Sasa leo watu wanahoji inakuaje tena yule tunaembiwa kwamba ni malaika kumbe nae ni mzalishaji na kubwaga aliowazalisha... kwahiyo hamna suala la wivu hapo! Na kama unaamini ni wivu, basi hata wale mashabiki wa Kiba wanokesha kila siku kutangaza umalaya wa Diamond basi bila shaka nao wana wivu na wangependa wagongwe wao!!!

sio kweli kwamba mashabiki wa kiba wote ndo hua wanamponda dai kua na zari hebu pitia post za hao wanaojiita team daimond uone wanavyomponda
by the way mondi anao wale wa kufikia wa zari mbonaah
 
Nas did you really need to write all this stuff?
Post nimemuandikia Avemaria na ndio maana nime-mention ID yake! Good enough, wala haioneshi kwamba hiyo post inaweza kumuhusu mtu mwigine yeyote yule, either as I group or individually! Now the question: Are you Avemaria?! If YES, I'll answer your question, if NO, then am sorry to tell you that, consider the post as a none of your business because the post meant to Avemaria and I had similar conversation with her several weeks ago!
 
Last edited by a moderator:
Kwanza, tukumbushane kwamba suala la Kiba kuwa na watoto watatu kwa mama watatu tofauti sio jipya... kila anayefuatilia burudani anafahamu; so kama watu wangekuwa wanamfuatilia wangeweka hizo posts kuhusu hilo suala lakini watu walikuwa wanapotezea coz' wenye akili zao wanaona no upuuzi kufuatilia maisha ya mtu! Hata huyo aliyeleta hizo habari wala haionekani kwamba ni shabiki wa Diamond. Kwahiyo hoja ingebeba uhalali wa kwamba anafuatilwa angalau ingekuwa hao mashabiki wa Chibu kila siku wanaleta hiyo issue lakini huwezi kukuta... in contrast, haikuchukui dakika kadhaa kuona mashabiki wa Kiba wanavyohangaika na ugumba na umalaya wa Chibu.. kwangu mimi, huu ni upuuzi!

Pili, kama hilo ambalo hata mashabiki wa Chibu hawajawahi kulileta hapa na wameanza ku-commnt baada kuleta wenyewe lakini unaona hao ni sawa na wanawake waliotaka kuzaa na huy Kiba.. what about wanaume watu wazima ambao wanashinda jukwaani kila siku wakikesha kutangaza ugumba wa mwanaume mwenzao? Wanaume wanaokesha majukwaani kutangaza umalaya wa mwanaume mwenzao?

But all in all, hoja ya msingi hapa ni moja! Ni ujinga watu kuanza kushupalia maisha binafsi ya mtu ambae wala huna uhusiano nae! Mtu kama unampenda Kiba, penda muziki wake hayo mengine ni ya kwake and no one else' business! BInafsi, nafuatlia na kusikiliza muziki wa wote wawili ingawaje namkumbali zaidi Diamond kutokana na struggles zake! Hao wengine ambao wanakana kwamba wana chuki lakiniukifuatilia post zao zimejaa chuki lakini ukiangalia kwa makini hakuna kinachowajaza chuki zaidi tu ya kuonakwamba kijana anajituma na kupata mafaniko!! Lakini kwa upande mwingine, ikiwa kama Diamond anatembea na bi mkubwa au hana uwezo wa kuzaa (tena hizi ndo hoja za kipuuzi zaidi), hilo ni suala lake yeye na famili yake... Kwa mfano, mama mzazi ameonakana si mara moja akiwa amepiga picha na Zari... sasa ikiwa mama mzazi amekausha, wengine inawahusu nini? Au ndo kama conclusion yako inavyosema!?

Mkuu umeshawahi kuwa mwandishi wa magazeti au upo News rooms? Au device yako huwa inajitype yenyewe kwa voice command.
 
sio kweli kwamba mashabiki wa kiba wote ndo hua wanamponda dai kua na zari hebu pitia post za hao wanaojiita team daimond uone wanavyomponda
by the way mondi anao wale wa kufikia wa zari mbonaah
I missed you princess... kama hujakutana na old friends for a long time, first you need to say "hello!" Anyway, nitaanza mimi.. hello geniveros, u good? Heri ya mwaka mpya 2015.

Now to the point... kwamba sio kweli kwamba mashabiki wote wa Kiba wanamponda, nakubaliana na wewe kwa 100% ila kwa bahati mbaya, hii lugha wakati mwingine kwenye baadhi ya sehemu inakuwa gumu kidogo kufanya selection unless you're Kiswahili guru! Lakini hata ukisoma conclusion yangu kwenye hiyo post, inasema:"basi hata wale mashabiki wa Kiba wanokesha kila siku kutangaza umalaya wa Diamond basi bila shaka nao wana wivu na wangependa wagongwe wao!!!" Hilo neno wale lina maana kubwa sana hapo... kwamba, sio mashabiki wa Kiba bali "wale mashabiki wa Kiba" wanaoponda...! Mathalani, mara kibao nakuona ni namna gani unavyotoa "thumb up" kwa Zari kwahiyo nitakuwa mtu wa ajabu niamini kwamba mashabiki wote wa Kiba wapo in the same boat katika hili!

Kuhusu mashabiki wa Diamond wanaomponda... let me tell you this my princes! Diamaond alikuwa na mashabiki wa aina mbili... aina ya kwanza ni wale mashabiki wake mwenyewe na aina ya pili ni wale ambao walienda kwa Diamond kwa ajili ya Wema. Lakini pia kuna kundi moja dogo... hawa ni wale ambao wanampenda Diamond at the same time wanampenda Wema! Sasa wale unaowaona wanamponda Diamond, majority ni wale ambao walipanda boti la Diamond kutokana na Wema... baada ya Wema kuwa out, sasa ndo wamehamishia hasira zao kwa Zari... Sina hakika kama wakati Diamond yupo na Penny ulikuwa umeshajiunga JF lakini hata kama ulikuwa bado, si ajabu ulikuwa unafuatia posts as a guest. Hao "mashabiki wa leo wa Diamond" wanaomtukana Zari, kwa kiasi kikubwa ndio hao hao waliokuwa wanamtukana Penny!!!! Hao, mahaba yao yapo kwa Wema zaidi kuliko kwa Diamond!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umeshawahi kuwa mwandisi wa magazeti au upo News rooms? Au device yako huwa inajitype yenyewe kwa voice command.
Matola kama umeshawahi kusoma types of intelligence, kuna ile inayohusiana na uandishi I don't mea wa journalism)! Mimi ninapoandika kitu huwa sifikirii... nikianza herufi ya kwanza, yanakuja yenyewe and am proud of that coz' inarahisisha mambo yangu mengi sana huku duniani! I don' care hapa JF kama kuna mwingine anaona post ndefu or otherwise... WHY? Busara ya JF ni kwamba, ukiona post hakikuvutii kwa namna yoyote ile, kama vile ni ndefu sana, basi mtu anashauriwa kuipotezea unless kama inamuhusu yeye moja kwa moja! Haya ndiyo yaliyopo hata kwenye real world... wapo watu kibao sana ambao hawataki kulisikia Raia Mwema au Raia... sababu kubwa ni makala zake ndefu! Nadhani umepata somo hapo...
 
Yamekuwa haya tena Sheikh wangu? Control ur temper.
Inawezekana nina negative perception lakini kuhusu wewe najitahidi sana tusiwe tunakwaruzana kwa kuwa ni ujinga! Lakini wakati unanishauri ni-control my temper, and advice accepted, nawe pia jitahidi uwe unafkiria kabla ya ku-comment! You nkw what, trust me, sina chuki wala bifu na wewe lakini lazima tuambiane ukweli... ndugu yangu wewe una udhaifu mkubwa sana kwenye majibu yako... ila nilichogundua kuanzia sasa, wakati mwingine unakuwa hauna nia ya kufanya attacks bali huwa hufikirii mara mbili kabla ya ku-post! UKishaandika, una-click "Post Quickly Reply" na hiyo burton utafikri humu ndani tuna mashindano ya nani ata-post haraka! Kuna post moja niliwahi kukuchana vibaya sana ckumbuki ulinizingua nini... lakini kabla sijai-post, nikaipitia upya... nikaona NO, this's not right!

Sasa mimi na wewe jana tu hapa tume-make peace, ndani ya saa 24, unahoji ikiwa ndo naanza practice za mambo ya kike wakati hoja yangu ilikuwa hili jamvi wanaume tukilizoea sana linaweza kutifanya tuwe na tabia za kike na kuanza mipasho! Sasa nikajiuliza, huyu mpwa tume-make peace jana tu hapa... halafu tena tunarudi kule kule,,, WHY?
 
Back
Top Bottom