Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

Nawaomba kama ma first ladies wajao
 
Kwa hiyo Zainabu akatoka kuwa bi mkubwa akaamua kwenda kwa Aweso kuwa bi mdogo. Duh.
Haya mambo ya ndani yana changamoto zake nyingi ambazo watu wanao watazama kwa nje hawawezi wakazijua.
Yawezekana Bi Zainab ali ipambania sana doa yake ya kwanza lakini akaondolewa.
Pia yawezekana alipokutana na Aweso, wakakubaliana na kisha akakubali kushuka cheo (yamkini alipenda kua kwenye ndoa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…