Picha: Wake wawili wa Waziri Juma Aweso wakiwa Bungeni

Kunywa soda kwa bajeti yako🤣🤣
 
Nawasiwasi na wakulia mkuu wa wilaya bagamoyo atakua alijitongozesha akalipia na Mali maana waislamu hawana mengi kwenye ndoa
 
Ila Afrikaa na viongozi wake. Sera za maji na ilani yatoka enzi za TANU anapata muda wakutuonesha wake zake. Sina nongwa au kwa nia mbaya ila tu safari ni ndefu mpaka tustaarabike.
 
Maa Shaa Allah, Jumaa Awesu huyu kijana yupo humble sana, namuombea aendelee hivyo hivyo asije akabadilika na wakeze wamtunze wasimuharibu akili.
 
Duuh! Aweso kumbe anakula maraha namna hii ndo maana anakuwaga na mbwembwe nyingi jukwaani...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…