FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #81
Okay, hakutoa hiyo option sasa, tuendelee tu kulijadili hilo suala, labda muafaka wa hiyo option utapatikananaona bichwa lako gumu. nimesema, sheria inataka kuwe na option ya fine, kama fine isipotolewa, kunatakiwa kuwepo na sababu ya msingi ama la, hiyo ni sababu nzuri ya kumkatia rufaa, among others.
TLS wanasemaje
Anaonekana hamnazo
Nyama ya Tembo inaliwa vilabuni Songea watu hawakamatwi...huyo mjane tuvipande tu......laana hiyo.Mnajua mashara ya kuua wanyama poli.kiholela ??
Unavyosema Sheria haiangalii masikini au tajiri ndio hili la aliyeiba pesa kimtandao milioni 280 aklipishwa faini laki Tano Kisha akaachiwahiyo nyama aliyokamatwa nayo thamani yake ni 900,000, kwanini tusichangishe mchango ili tulipe faini atoke? manake kwa upande mwengine hizo sheria tumezitunga wenyewe, na yeye sio kwamba hafahamu kwamba wanyamapori ni msala. sisi tuliozaliwa maporini tunajua tangu utoto wetu nyamapori ilitungiwa hadi jina kwasababu serikali ikikukuta nayo ni msala, hivyo ukikutwa nayo hata kama una njaa ni msala kwasababu sheria inafuata mkondo, haiangalii tajiri wala masikini. cha muhimu hapo ni aidha kuifuta hiyo sheria ili tuvamie tule swala wote, au la tumchangie huyo mama alipe faini kwasababu kosa aliloshitakiwa nalo lina option ya faini, hata kama ameenda gerezani tukienda kulipa faini anatoka hata kesho.
Watu wenye upara wanamatatizo sana
Vipi kuhusu madhara ya kula Kwa urefu wa kamba?Mnajua mashara ya kuua wanyama poli.kiholela ??
Uovu ambao haujashughulikiwa hautakatishi mwingineVipi kuhusu madhara ya kula Kwa urefu wa kamba?
Hautakatishi ila sheria imetoa mwanya wa huruma kwa busara za hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mkosaji wa kwanza, mjane, watoto tegemezi wanne, sio jangili kakutwa nazo tu, masikini alietafutia watoto wasife njaa nk, kuna mwanya wa faini.., kwanini hakutumia mwanya huo wa kisheria badala yake akauvaa ushetani mkuu?! Anaugomvi gani na huyo mjane? Wanataka kumpora mashamba yake?!Uovu ambao haujashughulikiwa hautakatishi mwingine
Pia sheria imetoa limit ya mwisho wa huruma huyu alitakiwa miaka 45 amepunguziwa nusu .hakimu anahuruma sanaHautakatishi ila sheria imetoa mwanya wa huruma kwa busara za hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mkosaji wa kwanza, mjane, watoto tegemezi wanne, sio jangili kakutwa nazo tu, masikini alietafutia watoto wasife njaa nk, kuna mwanya wa faini.., kwanini hakutumia mwanya huo wa kisheria badala yake akauvaa ushetani mkuu?! Anaugomvi gani na huyo mjane? Wanataka kumpora mashamba yake?!
Akram Aziz alifungwa miaka mingapi?Pia sheria imetoa limit ya mwisho wa huruma huyu alitakiwa miaka 45 amepunguziwa nusu .hakimu anahuruma sana
HAPO ANATAKIWA ATAFUTWE FUTO NDIYO MWENYE KESIHata mimi nilimuomba Rais amsamehe mwanamke mwenzake, maana huyu si jangili, nyama alipewa tu, ampunguzie adhabu, mbona Mramba aliishia kufagia vyoo tu..
Futo ndio nani tena?HAPO ANATAKIWA ATAFUTWE FUTO NDIYO MWENYE KESI
Aliomba prea bargain.ni mambo ya kisheriaAkram Aziz alifungwa miaka mingapi?
Maana yake sheria inaruhusu faini, with or without plea bargain. huyo dada alipigwa faini ya kiasi gani akashindwa kulipa?Aliomba prea bargain.ni mambo ya kisheria
Hakim wa mchongoMi nalaumu aliyemfunga