Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

Picha ya uso wa mtu aliekata tamaa ya kuishi baada ya kuhukumiwa miaka 22 Jela

naona bichwa lako gumu. nimesema, sheria inataka kuwe na option ya fine, kama fine isipotolewa, kunatakiwa kuwepo na sababu ya msingi ama la, hiyo ni sababu nzuri ya kumkatia rufaa, among others.
Okay, hakutoa hiyo option sasa, tuendelee tu kulijadili hilo suala, labda muafaka wa hiyo option utapatikana
 
2F3FA4F0-B04F-4B22-92AC-333FC9B8F258.jpeg


Mwamba huyu hapa, Anaitwa hakimu Said Ally Mkasiwa.
 
Hii inaitwa Aurlus Mabeleeee !! 😀 😀

1699502770592.png
 
hiyo nyama aliyokamatwa nayo thamani yake ni 900,000, kwanini tusichangishe mchango ili tulipe faini atoke? manake kwa upande mwengine hizo sheria tumezitunga wenyewe, na yeye sio kwamba hafahamu kwamba wanyamapori ni msala. sisi tuliozaliwa maporini tunajua tangu utoto wetu nyamapori ilitungiwa hadi jina kwasababu serikali ikikukuta nayo ni msala, hivyo ukikutwa nayo hata kama una njaa ni msala kwasababu sheria inafuata mkondo, haiangalii tajiri wala masikini. cha muhimu hapo ni aidha kuifuta hiyo sheria ili tuvamie tule swala wote, au la tumchangie huyo mama alipe faini kwasababu kosa aliloshitakiwa nalo lina option ya faini, hata kama ameenda gerezani tukienda kulipa faini anatoka hata kesho.
Unavyosema Sheria haiangalii masikini au tajiri ndio hili la aliyeiba pesa kimtandao milioni 280 aklipishwa faini laki Tano Kisha akaachiwa
 
Uovu ambao haujashughulikiwa hautakatishi mwingine
Hautakatishi ila sheria imetoa mwanya wa huruma kwa busara za hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mkosaji wa kwanza, mjane, watoto tegemezi wanne, sio jangili kakutwa nazo tu, masikini alietafutia watoto wasife njaa nk, kuna mwanya wa faini.., kwanini hakutumia mwanya huo wa kisheria badala yake akauvaa ushetani mkuu?! Anaugomvi gani na huyo mjane? Wanataka kumpora mashamba yake?!
 
Hautakatishi ila sheria imetoa mwanya wa huruma kwa busara za hakimu kulingana na hali halisi ya mtuhumiwa. Mkosaji wa kwanza, mjane, watoto tegemezi wanne, sio jangili kakutwa nazo tu, masikini alietafutia watoto wasife njaa nk, kuna mwanya wa faini.., kwanini hakutumia mwanya huo wa kisheria badala yake akauvaa ushetani mkuu?! Anaugomvi gani na huyo mjane? Wanataka kumpora mashamba yake?!
Pia sheria imetoa limit ya mwisho wa huruma huyu alitakiwa miaka 45 amepunguziwa nusu .hakimu anahuruma sana
 
Naomba kuuliza,hayo majitu yaliyovaa jezi rangi ya mavi ni kina nani?au ndo askari misitu waliomkamata huyo mama?
 
Back
Top Bottom