Picha zinatisha: Ni picha za Wamasai waliojeruhiwa na wengine damu zinavuja


Hajui kuwa wanampeleka front kumzibia njia ya come 202530
 
Kwahio na mtu kama huyu anaangukia kwenye category ipi ?

Mtetezi ?, Mpasha habari ? au Mchochozi ?

Kweli hii nchi inaelekea pabaya sana na tunapoenda mabaya ya JPM (propaganda na kuitana wasaliti na kuzibana midomo) nadhani ndipo tunapoelekea yaani mabaya ya kule kuchanganya na mabaya mengine ni recipe for disaster....

Ila anyway ngoja watu wafiche ugonjwa hata kama upo ili Royal Tour isiingie doa.... (kweli hili Bunge linageuka kuwa mtetea serikali na sio wananchi)
 
Napenda amani, lakini hawa wametuulia sana ndugu zetu wakulima kinyama na kishenzi kabisa kule morogoro.
 
Uoga wetu unatuponza sana, siku uoga ukitutoka hawa jama ndio watajua hawajui.
 
Wafanye haraka Mwarabu anataka Kuwinda Wanyama huko Ngorongoro!

Na Mwarabu kwa Jeuri anatengeneza Hifadhi yake Arabuni, baada ya miaka 20, Wazungu wote wataishia Arabuni kuona Wanyama...!
 
Huna macho makali boya wewe, umeangalia kwa mrengo wa kisiasa. Sasa watakula kichapo non stop, ambianeni mapema.
Unafurahia watu kuumizwa, unanufaika nini? Watu wana mashaka wakikumbuka Loliondo hadi kifo cha mwandishi habari Stan Katabalo,
Kama ulikuwa hujazaliwa hujui, hivyo usikaze sana fuvu,
Sio kila kinachofanywa na serikali ni kizuri au ni kibaya
 

Nami naungana nawe kwa Aya hiyo ya mwisho. Ili ukweli usiwe na shaka la aina yoyote, uchunguzi ufanyike ambao ni rahisi kwa kuwa waliojeruhiwa (kama picha zinavyoonesha) wapo hai, watatoa ushahidi
 
 
Serikali haiweziku bow down mara mbili kwa watu wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…