Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Sema alizidiwa na Anne,sijui ndo juju ama maombi.Wapi huyu Mama(ex-soldier) Tatu Ntimizi?
Nakumbuka Mzee alidata sana kwa huyu Mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema alizidiwa na Anne,sijui ndo juju ama maombi.Wapi huyu Mama(ex-soldier) Tatu Ntimizi?
Nakumbuka Mzee alidata sana kwa huyu Mama.
Sema alizidiwa na Anne,sijui ndo juju ama maombi.
I think ndo huyu niliyesoma nae CBE DodomaBinafsi namjua mmoja tu anaitwa Nyagwa, ni bint asiyependa makuu, hata jina anatumia sir name ya John badala ya Marecela
Khaaa mpk watu wazima walikuwa wanapambana kumpata Mzee 😅🤣🤣Sema alizidiwa na Anne,sijui ndo juju ama maombi.
Connection kisiasa.Kutembea na waziri mkuu,makamu wa kwanza wa Rais hapo lazima milango ifunguke.Anne ni Mbunge thanks to Mzee.Tena alipoolewa alijua atakuwa first Lady.Uchaguzi wa ndani ya CCM 2005.Anne alisema anatoka Anne ,anai (Mke wa Mkapa)Anaingia Anne akimaanishe yeye mke wa "Rais Malecela ".Khaaa mpk watu wazima walikuwa wanapambana kumpata Mzee 😅🤣🤣
Ujue imebidi nikasome historia aliyoiandikwa ye mwenyewe,ipo humu mtu aliileta!Sasa nimeelewa kwanini kwa ainterview ya Global alisema wazi kuwa Mama yake Mzazi alikuwa mbinafsi sana na alijiangalia zaidi yeye kuliko mtoto wake wa kumzaa.Ni kweli mama yake aliwahi kuwa Miss Tanzania kwa mujibu wa Le Mutuz kwa ile interview?
Mi sijui kama alisoma hukoI think ndo huyu niliyesoma nae CBE Dodoma
Ujue imebidi nikasome historia aliyoiandikwa ye mwenyewe,ipo humu mtu aliileta!
Kumbe mama ake mzazi na mama wa kambo walikuwa marafiki waKubwa,halafu wakaja kuwa maadui wakubwa mpk wanakufa! Amesema Ile vita aliishi yeye! Aisee huyu kaka amepitia shida as if hakua mtt wa kiongozi mkubwa,so sad!
Hapa watu Wana comment tu wengi hawajui ukweli!
Kwa case hii ,shida Iko kwenye hiyo bunduki!Afrika kumejaa wivu na roho mbaya.
Kuna ndugu zangu fulani hawapatani kwa sababu baba yao alimpa bunduki kaka yao.
Wanasema kwa nini ampe yeye? Bunduki ipo moja watoto wapo tisa na wana uwezo kifedha lakini wanagombea bunduki tuu na mpka Leo hawapatani.
Yes,ni yeye alisoma dodoma, alikuwa hapendi kujulikana ,ila si unajua watu wakishajua we mtt wa nani kujipendekeza ...anaitwa nyagwa malecelaMi sijui kama alisoma huko
Anazaa madaktari na Maprofesa tu. Hongera zake sana.
Dr. Msukuma na Dr. Babu Tale wakuje huku. Kuna cha kujifunza
Jana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?Inauma!![]()
Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.
Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.
Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.
Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.
RIP Le Mutuz
Hao wadogo wa Irene nao pia watoto wa mzee Malecela?Irene mtoto anakuwa namuona aliniuma sana sijui unajua kwamba na wadogo zake walifariki (DJ Rankim.Ramadhani na Bahati)
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Waliofariki dunia ni Senyagwa, Ipyana, Dr Irene,Dr Mwele na William.
Walio hai ni Prof Seche, Jaji Mwendwa,Tully ,Samweli na Nyagwa.Tully ni wa kuadopt.
Duh noma sana! Ila wakati mwingine ni masuala ya kiroho sema watu hawaelewi!haya mambo uyasikie tu, usiombe yatokee kwenye familia yako.
Bibi yangu mzaa Mama alizaa watoto 12 na marehemu mume wake. mpaka sasa wamebaki wanne tu, nane wameshatangulia mbele ya haki.yeye bado yupo hai akisumbuliwa na maradhi ya uzee.
mtoto wake wa mwisho kufariki ni wa kiume(mimi namuita mjomba), tumemzika miaka michache iliyopita. huyu ndio alikuwa icon wa familia, msomi na afisa wa shirika fulani la nje.
huyu jamaa Mungu alimbariki sana kiuchumi na alikuwa na roho safi mno.nakumbuka alimkatia Mama yake first class health insurance. yaani bibi akiumwa kidogo tu, gari inakuja kumchukua kumpeleka agakhan hospital. madaktari kama wote wanapishana kumuhudumia Bibi.
Mungu akasema ngoja nikuonyeshe,akamnyofoa na huyo ambaye ndio alikuwa stable kiuchumi kwenye uzao wake.
Aiseee 🤔Huyo mama alimtoa Tatu Ntimizi,watu wote walijua Tatu Ntimizi ndo ataolewa,hadi mzee alibadili dini na kujiita Jumanne cof of Tatu,ila Anne kapambana mpaka akaolewa yeye.Mke wa ndoa nae aliugua kimaajabu alitibiwa mpaka Kigoma huko enzi zile Makamba ni mkuu wa mkoa Kigoma. Ikute mama wa watu michepuko ndo walimpiga juju. Ila mzee nae alikuwa zip wazi enzi zake ,mweh..
Wakati mwingine SIO Mungu mkuu!haya mambo uyasikie tu, usiombe yatokee kwenye familia yako.
Bibi yangu mzaa Mama alizaa watoto 12 na marehemu mume wake. mpaka sasa wamebaki wanne tu, nane wameshatangulia mbele ya haki.yeye bado yupo hai akisumbuliwa na maradhi ya uzee.
mtoto wake wa mwisho kufariki ni wa kiume(mimi namuita mjomba), tumemzika miaka michache iliyopita. huyu ndio alikuwa icon wa familia, msomi na afisa wa shirika fulani la nje.
huyu jamaa Mungu alimbariki sana kiuchumi na alikuwa na roho safi mno.nakumbuka alimkatia Mama yake first class health insurance. yaani bibi akiumwa kidogo tu, gari inakuja kumchukua kumpeleka agakhan hospital. madaktari kama wote wanapishana kumuhudumia Bibi.
Mungu akasema ngoja nikuonyeshe,akamnyofoa na huyo ambaye ndio alikuwa stable kiuchumi kwenye uzao wake.
Hata mimi nimewaza kama ulivyowaza wewe,hawa wazee enzi za ujana wao au walipokuwa kwenye utawala unaweza kuta waliwaonea au kuwanyanyasa watu wengine au kuwatendea ubaya watu wengine so the karma is just working on behalf of the voiceless!Kiroho hili lina maana kubwa sana. Ingawa kiafrika kulisem itaonekana kama unamnanga mfiwa.
Hapa kuna kitu Mungu anamfundisha mzee Malecela na sitakisema kwenye jukwaa hili.
Kuzika watoto wanne is not a joke.
Tena ndo vingi sana,ambavyo Mungu hahusikiSi vifo vyote ni vya mwenyezi mungu
Kumbe we ndo kidogo tunaenda sawa!Wakati mwingine SIO Mungu mkuu!
Ni MAMBO Fulani HIVI ya tambiko na miiko Fulani!!