Poleni sana jobless, ila na sisi ndugu zenu wa halmashauri hali ni mbaya

Naungana na wewe katika hili,huku Halmashauri tunapauka sana,hali ni mbaya sana.
 
Acha kabisa mzee, Ndio maana watu wakipata mwanya wa kupiga wanapiga kwelikweli.

Maisha ya Halmashauri changamoto sana.
Huku watumishi wengi nyuso zao zimepoteza nuru, zimepoteza furaha ,zinahuzunisha sana daah.
 
Hata wizarani uko ukiyasikia utaakaa kimya

Halmashauri uko uko kuna watu wapo km heaven wale Ellites

Niliwai kuona mfanyakazi wa TRA analalamika kichizi

Wakati ukisikia TRA unachowaza akilini pesa nje nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…