Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Nape..watu wasiojulikana..
Kibiti....wasiojulikana
IMMA...WASIOJULIKANA
BEN SA8...WASIOJULIKANA
ROMA....WASIOJULIKANA
LISU...WASIOJULIKANA
MAITI MTO RUVU...WASIOJULIKANA
MAITI KUNDUCHI..WASIOJULIKANA

NIMECHOKA...NI HERI KUWA KICHAA UKAE MAJALALANI KULIKO KUWA NAAKILI TIMAMU HUKU UKIONA JINSI AMANI INAVYO CHEZEWA NA HAWA WATU.......WASIOJULIKANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wenye madaraka wanajiona wamepewa na mungu, basi wajue shetani ndiye anawasimamia kucha. Yeye hushindwa kwa hila na ufidhuli wake. Lisu anasimamiwa na Mungu na sio makinikia
 
Kuna barua inatoka chama fulani, inakemea tukio hili, imeandikwa tar 7 aug.

Sijajua ni type error ama ni fake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
There were multiple shooters
The numbers of bullets (25) has got the hidden message for those with active brain
The truth is that the multiple shooting was just a camouflage

Lets pray for Our beloved hero.
 
Mungu akuhurumie sio akili yako.............. Nimeomba rehema kwa ajili yako
Mungu awahurumie pia wale wote wasiojielewa na wenye ubinafsi uliopitiliza....asiwasahau wale wote wenye akili na nia mbaya ya kuliingiza taifa kwenye matatizo kwa sababu zao binafsi na kutumia udhaifu wa watanzania.... hawa ni pamoja na wale wote;
1) Wanaopenda kujipendekeza kwa MATAIFA na International community waiwekee VIKWAZO vya UCHUMI na wakate MISAADA yote kwa NCHI yetu.
2)Wale wote waliohusika na Kuyashawishi na kushirikiana na Makampuni ya Kibeberu kuzuia Mali za serikali zilizolipiwa
3)Wale wote ambao toka October 2015; Wamekuwa wanahamasisha uvunjivu wa amani kwa makusudi ikiwemo kuanzisha UKUTU.
4)Wale wote waliokuwa wanashabikia Mauaji ya POLISI na Viongozi huko Kibiti, Mkuranga, Mkiu na Ikwiriri.
 
Na wewe umeanzisha uzi tena lugha mubashara ya malkia
 
There were multiple shooters
The numbers of bullets (25) has got the hidden message for those with active brain
The truth is that the multiple shooting was just a camouflage

Lets pray for Our beloved hero.
funguka zaidi mkuu
 

Yaani siyo siri nilipatwa na uchungu sana jana na usiku wa leo. Nilijiuliza mambo mengi mengi sana lakini nikawa sipati majibu. Na kilichokuwa kina nisumbua mpaka sasa ni kwamba serikali ilikuwa Dodoma kwenye kikao cha bunge, halafu bungeni kuna ulinzi wa kutosha, hiyo bunduki iliyotumika haikutoa mlio? Au ilikuwa kama mshale? Milio ya bunduki inafahamika ni aina gani na maaskari wanajua.

Swali: Iweje mtu aingie eneo hilo la bunge na kufetua risasi kama mvua asikamatwe? Huyo mtu alijiamini vipi? Au wabunge wetu hawana ulinzi? Hao watu wanaojitetea nao waliingia je eneo la bunge wakati magari yanakaguliwa? Bado kichwa kinapata moto.
 
Haikuwa eneo la Bunge ilikuwa ni Nyumbani kwa Mh. Lissu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Worst move by magu, ccm itachukiwa mara elfu moja zaidi ya sasa.
 
WANAOUZA SURA TBC NDO WATU WASIO JULIKANA

VNGOZI WANYAMA IN WAY HATUWAJUI WETHER NI AKINA JOHN AU POMBE TU
 

Hahahaha........Mkuu umenikumbusha mbali! Mbona watumishi wengi wa umma huendaga nje ya nchi kuongeza maarifa kwenye taaluma yao lakini hakuna maarifa mapya wanayokujaga nayo! Tatizo ni nini? Ni hawaelewagi kitu wanapoendaga short courses? Wamezoea business as asual? wale wenye taaluma nzuri hawapewi nafasi za kuchunguza matukio ya msingi kama haya? Wataalam hawajiamini kiasi kwamba wanapelekeshwa na wanasiasa au mabosi ambao wanatumika kisiasa?
 
Sasa kazi Yao ni nini? Kama hawana taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…