Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Siri kali ina mkono 200%
Naogopa kupimwa mkojo ningefunguka
 
Kuna mtu alimtolea Nnape Bastola, pale Protea Hotel na video zipo mpka leo na jamaa hajulikani na uchunguzi unaendela, sasa kama mtu alioneka live na kashindwa kushikwa itakuwa hao "watu wasiojulikana"?
 
Wakati mwingine kamanda Siro anaonewa,kamanda Siro ni mkuu wa jeshi la polisi Tanzania,taasisi inayotuhumiwa moja kwa moja iko chini ya mwenye nchi.

Kamanda Siro kutaka kuwashughurikia watu kama hawa ni sawa na kuyalazimisha maji yapande mlima kilimanjaro kitu ambacho hakiwezi kikatokea hata siku moja.

Kamanda Siro kutaka kupambana na watu kama hawa ni sawa na kuyatafuta ya Nape.

Tutaendelea kupigwa blabla hivi hivi lakini hakuna kitakachoendelea,wakijitahidi sana watatufanyia ya Kova ya kumkamata kichaa mkenya na kumfanya muuaji.
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
 
Hapa tutarajie kupikiwa wahalifu bandia ili kuzima.....
 
Siri kali ina mkono 200%
Naogopa kupimwa mkojo ningefunguka

Funguka acha woga vinginevyo jamaa wataendelea kuumiza watz. Na inatakiwa hilo gari likionekana lichomwe moto. Na sasa hiv inatakiwa tukiambiwa tu gari linamfuatilia mtu hakuna haja ya kungoja polisi ni kulitia kiberiti tu na waliomo ndani.
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...

Tamba unavyopenda lakini mambo yakigeuka uwe unatembea na KY jelly kwani itakupunguzia michibuko. Yai lazima tuvunjie kwenye shimo la tope hapo nyuma.
 
Kwakweli hili tukio ni kina kirefu kwa kamanda silo...hana ubavu wa kuwakamata,,kikundi cha wahalifu kinachotuhumiwa ni cha mfalme
 
Funguka acha woga vinginevyo jamaa wataendelea kuumiza watz. Na inatakiwa hilo gari likionekana lichomwe moto. Na sasa hiv inatakiwa tukiambiwa tu gari linamfuatilia mtu hakuna haja ya kungoja polisi ni kulitia kiberiti tu na waliomo ndani.
Pole sana mkuu.Nayahisi machungu uliyonayo lkn punguza hasira.Twende mdogo mdogo tu tutafika(slowly but sure) hata bibi nae alikuwa binti.
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
NAKUONA MFUASI WA PEPO...
KIKUNDI CHA WAHUNI KUTOKA KANDA YA ZIWA..
KALISALITI PEPO..
LILISHINDWA KUJENGA UPENDO HATA KWENYE NDOA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
msaliti??? duh sasa chenge au yona aliyesaini mikataba hii mibovu ama kina simbachawene walioingiza nchi hasara kwa tamaa za matumbo yao tuwaieteje if at all lisu ni msaliti????
 
Sijui upelelezi kuhusu wale walipuaji wa IMMA Advocates nao umefikia wapi. Mtu asiyejulikana ni hatari sana hapa Tanzania. No wonder watu wamemaintain mizigo yao kadhaa isiyojulikana na bado maisha yao ya ndoa yapo safi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…