Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Siri kali ina mkono 200%
Naogopa kupimwa mkojo ningefunguka
 
Kuna mtu alimtolea Nnape Bastola, pale Protea Hotel na video zipo mpka leo na jamaa hajulikani na uchunguzi unaendela, sasa kama mtu alioneka live na kashindwa kushikwa itakuwa hao "watu wasiojulikana"?
 
Wakati mwingine kamanda Siro anaonewa,kamanda Siro ni mkuu wa jeshi la polisi Tanzania,taasisi inayotuhumiwa moja kwa moja iko chini ya mwenye nchi.

Kamanda Siro kutaka kuwashughurikia watu kama hawa ni sawa na kuyalazimisha maji yapande mlima kilimanjaro kitu ambacho hakiwezi kikatokea hata siku moja.

Kamanda Siro kutaka kupambana na watu kama hawa ni sawa na kuyatafuta ya Nape.

Tutaendelea kupigwa blabla hivi hivi lakini hakuna kitakachoendelea,wakijitahidi sana watatufanyia ya Kova ya kumkamata kichaa mkenya na kumfanya muuaji.
 
Nimemssikia IGP Sirro akiongea na media jana akisema Jeshi la Polisi liko serious(makini)kwenye kuchunguza nani waliohusika na shambulio la mauaji kwa Mbunge Tundu Antipas Lissu.
Ahadi za IGP kwamba wako makini na watawakamata waliohusika na shmabulio hilo zinaonesha hammanishi anachokisema. Nitaeleza.

Kuna habari za kuaminika kwamba gari lililokuwa likimfutilia Tundu Lissu toka Bungeni akielekea nyumbani kwake mchana huo ni GARI LINAJULIKANA na ndiyo hilo hilo ambalo hata Mbunge wa MTAMA(CCM) Nnape Nnauye amelitaja jana alipohojiwa na media. Nnape Nauye amesema alipoongea na BBC kwamba kwa nchi ambayo inaheshimu Utawala wa Sheria haiwezekaqni watu wawe wana toa taarifa kwa Polisi Nnape akiwa mmoja wao kwamba kuna GARI LINAWAFUATILIA na ni gari hilohilo lilimewahi kumfutilia Lissu alipolitaja kwa rangi na namba zake. Gari hilo ni T460CQV aina ya Toyota Premio la vijana wa TISS. Angalia Link hii ni ushahidi tosha: Youtube
Tundu Lissu alitoa taarifa hizi kwa IGP Sirro na Kamanda Kipilimba akiwatuhumu kuwatuma watu wa Usalama wa Taifa kumfuatilia TL badala ya kufanya kazi ya kufuatilia wahalifu.

Kama IGP Sirro yuko serious basi aanze na hili gari T460 CQV linaloendeshwa na vijana wa TISS. Watu hawa ndio walio mnyoshea bastola/bunduki Nnape Nnauye alipofukuzwa Uwaziri alipounda Tume ya kuchunguza sakata la RC Paulo Makonda baada ya kuvamia Clouds TV akiwa na Polisi. Hivo IGP Sirro anza na usajili wa gari hilo kujua nani mmiliki wake,anakaa wapi ana kazi gani na ana uhusiano gani na TISS. Nina hakika akipatikana mwenye gari hilo basi waliotaka kumwangamiza Tundu Lissu nao watapatikana.
Kazi kwako Kamanda Sirro if and only if you mean serious about this business.
Nje ya hayo IGP Sirro anaenda kuwa IGP ZIRO(0).
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
 
Hapa tutarajie kupikiwa wahalifu bandia ili kuzima.....
 
Siri kali ina mkono 200%
Naogopa kupimwa mkojo ningefunguka

Funguka acha woga vinginevyo jamaa wataendelea kuumiza watz. Na inatakiwa hilo gari likionekana lichomwe moto. Na sasa hiv inatakiwa tukiambiwa tu gari linamfuatilia mtu hakuna haja ya kungoja polisi ni kulitia kiberiti tu na waliomo ndani.
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...

Tamba unavyopenda lakini mambo yakigeuka uwe unatembea na KY jelly kwani itakupunguzia michibuko. Yai lazima tuvunjie kwenye shimo la tope hapo nyuma.
 
Kwakweli hili tukio ni kina kirefu kwa kamanda silo...hana ubavu wa kuwakamata,,kikundi cha wahalifu kinachotuhumiwa ni cha mfalme
 
Funguka acha woga vinginevyo jamaa wataendelea kuumiza watz. Na inatakiwa hilo gari likionekana lichomwe moto. Na sasa hiv inatakiwa tukiambiwa tu gari linamfuatilia mtu hakuna haja ya kungoja polisi ni kulitia kiberiti tu na waliomo ndani.
Pole sana mkuu.Nayahisi machungu uliyonayo lkn punguza hasira.Twende mdogo mdogo tu tutafika(slowly but sure) hata bibi nae alikuwa binti.
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
NAKUONA MFUASI WA PEPO...
KIKUNDI CHA WAHUNI KUTOKA KANDA YA ZIWA..
KALISALITI PEPO..
LILISHINDWA KUJENGA UPENDO HATA KWENYE NDOA YAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaliti hawezi kuwa kipaumbele ...Taifa lina mambo mengi ya kuyashughulikia ambayo yanaleta TIJA... why spent time and shilings kwa ajili ya MSALITI...
msaliti??? duh sasa chenge au yona aliyesaini mikataba hii mibovu ama kina simbachawene walioingiza nchi hasara kwa tamaa za matumbo yao tuwaieteje if at all lisu ni msaliti????
 
Sijui upelelezi kuhusu wale walipuaji wa IMMA Advocates nao umefikia wapi. Mtu asiyejulikana ni hatari sana hapa Tanzania. No wonder watu wamemaintain mizigo yao kadhaa isiyojulikana na bado maisha yao ya ndoa yapo safi kabisa
 
Back
Top Bottom