Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Polisi Dodoma: Mwenye taarifa kuhusu waliompiga Lissu risasi apeleke polisi

Walivamia clouds wakatajwa lkn hakuna lolote,
Wakamuineshea bastola nape wakatajwa na hata picha zao kuonekana,hawajafanywa kitu,
Wakamfyatulia risasi malima na hawajachukuliwa hatua,
Ni aibu kusema watajwe wakati waliotajwa awali hawajafanywa lolote,huu ni unafki,tukiamua kushughulika na jambo tushughulike kwa ukweli,
Hizi ni siasa tu dhamiri na mioyo yenu inajua na yamkini imefurahi enyi waovu,hampendi kukosolewa lkn mnajidai mnapenda taarifa,
Kila tukio eti watu wasiojulikana,inamaana wasiojulikana wananguvu zaidi ya askari wetu,najiuliza hili lingemkuta wazir nk,
Mnataka taarifa wakati kuna MTU alipost kitisho mtandaoni na hamjamshtaki,
Shetani yupo kazini na kavaa utakatifu wa kubumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama Mtanzania naungana na wenzangu kumtakia afya njema T.L. kufuatia shambulio dhidi yake mijini Dodoma.
Leo tumeambiwa wazi na Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli, wakati akikabidhiwa ripoti za kamati mbili za kuchunguza madini ya Almas na Tanzanite kuwa, majadiliano kati ya Serikali na Barrick ni yanaendelea na ni magumu na kwamba Barrick walilazimika kuongeza timu ya pili kwa ajili ya majadiliano licha ya sisi kubakia na Wajumbe walewale.
Sasa, je mnadhani hao jamaa walikuja kwa ajili ya mazungumzo tu ama mikakati ya kumkatisha tamaa Rais ili achukiwe na wananchi wake? Mimi nina uhakika wa madhaka kuwa, Barrick na Acacia watakuwa na mkono wao dhidi ya jaribio la kumuua Tundu Lissu. Wanajua wakimuua Lissu, kila mtu atainyooshea kidole Serikali.
Tusijidanganye, Dola ina uwezo wa kumuua tena kwa urahisi sana bila kutumia njia zilizotumika. Hiyo njia wabaya wa Serikali walitaka kuipublicise kipindi cha Bunge. Serikali isingesubiri wakati wa Bunge never. Ninaamini Barrick na Acacia wana mkono wao.
Na kwa kuwa kuna tuhuma pia za Lissu kushirikiana nao inawezekana majamaa yamemtumia na yanataka kumgeuka. Kama ni kweli, basi Lissu bado ana hatari ya kuvamiwa tena ili kummmaliza ili asitoe siri wakati atakapopona (hapo hata akijua ni wao hawezi kutoa Siri kwa kuwa itammaliza mwenyewe kisiasa).
Aibu hata kwa mzazi aliyekuleta duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu, nimejaribu kufuatilia yanayojili hususani jaribio la kutaka kumwua Mh. Tundu Lissu kama lilivyo-repotiwa na vyombo vya habari na response ya Jeshi la Police la Tanzania, division ya Dodoma...nilichojifunza ni kwamba hakuna jeshi la police bali kundi la wahuni waliovaa sare zinazofanana na za jeshi la Police....
Tunajua mapungufu ya Police na tunajua kuwa jaribio hili lina harufu ya kisiasa na huenda haki isitendeke, unless we join hands ili hawo waharifu wapatikane. ningependekeza yafuatayo...
  1. Tu-engage watu wa mitandao ya simu.nijuavyo mimi, mitandao ya simu hutumia satellite na hivyo ni rahisi kujua watu waliokuwa wanamfuatilia Lissu. kwa mfano, tukianzia Bungeni Dodoma wakati Lissu anaondoka, mpaka anafika nyumbani...kupitia network providers utaweza kuona namba za simu zilizokuwa karibu na eneo la Tukio...hivyo basi inaweza kuwa one of the leading step of investigation
  2. baada ya tukio, Gps ilionyesha hizo simu zikienda wapi....hapa namaanisha kuwa kutaonekana movement (pings)...
  3. watu gani walipigiwa simu kwa muda huo na hawo watu wako wapi? kwa ku-consider Radius ya eneo la tukio na ku-detect namba za simu itakuwa rahisi sana kuwapata hawo waharifu
  4. Namba zote zinazoonekana kwenye GPS, watu hawo watafute, wahojiwe na haki ichukue mkondo wake.
wandugu, mwenye mbinu zaidi za kiupepelezi atupie...
Wenda zitasaidia,

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Nawaza kwa mawazo mapana sana tena sana na ninaumia moyo sana , pamoja na UCCM wangu wa damu kabisa lakin nadiriki kusema hali hii haimpendezi mungu ,TUNALITIA LAANA NA NAJISI TAIFA LENYE BARAKA .
Anajitia laana anaetuma watu kuua,kuteka na kutesa,laana matokeo yake yanajulikana,na atavuna kwa wakati wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuthink nje ya box kabla kwanza hujathink ndani ya box.
Embu tuambie tu, ndani ya box unafikiri nani anahusika?

Nani ni adui wa Lissu?
Kwanini makada karibu wote wa kijani walikuwa busy mitandaoni kwa zaidi ya miezi mitatu sasa kuwaita kina Lissu ni 'wahaini'?
Unajua hukumu ya mhaini?
Ukitaka kumuua MTU mpe jina baya ili ukimuua watu wachukulie kafa muovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nissan Patrol Tinted, haina haja ya kujisumbua.
Huu uvamizi ni uvamizi ambao hauna akili, nchi za wenzetu wangeonekana mapema sana,satellites kila mahala na maprofeshino IT wenye uwezo wa hali ya juu wangeweza ku-detect na kubaini mapema sana.

post using my macbook air using jamiiforums app
 
9b39ac99e47d9b9e8ae087ba75be76d1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walivamia clouds wakatajwa lkn hakuna lolote,
Wakamuineshea bastola nape wakatajwa na hata picha zao kuonekana,hawajafanywa kitu,
Wakamfyatulia risasi malima na hawajachukuliwa hatua,
Ni aibu kusema watajwe wakati waliotajwa awali hawajafanywa lolote,huu ni unafki,tukiamua kushughulika na jambo tushughulike kwa ukweli,
Hizi ni siasa tu dhamiri na mioyo yenu inajua na yamkini imefurahi enyi waovu,hampendi kukosolewa lkn mnajidai mnapenda taarifa,
Kila tukio eti watu wasiojulikana,inamaana wasiojulikana wananguvu zaidi ya askari wetu,najiuliza hili lingemkuta wazir nk,
Mnataka taarifa wakati kuna MTU alipost kitisho mtandaoni na hamjamshtaki,
Shetani yupo kazini na kavaa utakatifu wa kubumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Kuna update moja hapa wanajamvi

Inasemekana TUNDU LISSU alikuwa katika gari na driver wake je driver wake ana hali gani?

Na kama yuko salama analipi la kuliambia jeshi la polisi kuhusu tukio hili?



post using my macbook air using jamiiforums app
a3e18861c74fa5587275341b1a1ddf95.jpg
yuko salama huyu hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom