Msipoteze muda kusubiri jeshi la police lifanye uchunguzi..
uko wapi uchunguzi wa Roma alivyotekwa.. Ben Saanane.. Mawazo alivyouawa.. Nape kutolewa Bastola..
Ofisi za IMMMA Advocate kurushiwa bomu. Uko wapi uchunguzi wa kuvamia Clouds kwa mitutu ya bunduki.. uko wapi uchanguzi wa kuvamiwa kwa mikutano ya CUF na waandishi wa habari. Wako wapi walioshtakiwa kumuua Dr Mvungi?
CHADEMA stuka. Tunachanga pesa kwa ajili ya matibabu ya Lissu na vile vile kwa ajili ya private investigator
uko wapi uchunguzi wa Roma alivyotekwa.. Ben Saanane.. Mawazo alivyouawa.. Nape kutolewa Bastola..
Ofisi za IMMMA Advocate kurushiwa bomu. Uko wapi uchunguzi wa kuvamia Clouds kwa mitutu ya bunduki.. uko wapi uchanguzi wa kuvamiwa kwa mikutano ya CUF na waandishi wa habari. Wako wapi walioshtakiwa kumuua Dr Mvungi?
CHADEMA stuka. Tunachanga pesa kwa ajili ya matibabu ya Lissu na vile vile kwa ajili ya private investigator