Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Si ndo hapo Mkuu.Kwa hiyo siku hizi hata uhuru wa matukio ya kidini tunaingiliwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndo hapo Mkuu.Kwa hiyo siku hizi hata uhuru wa matukio ya kidini tunaingiliwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]Agizo lolote linalotolewa katika hiki kipindi cha april fool ni la kulipuuza
Wangetoa kesho labdaAgizo lolote linalotolewa katika hiki kipindi cha april fool ni la kulipuuza
Shida Sana.Ule Uhuru wa kuabudu uko wapi sasa??.Hamnazo hawa jeshi la police Yani tusisherekee kufufuka kwa nwokozi wetu kisa watu ambao hawako duniani?
Jeshi kuweni serious acheni kuingilia Imani zetu
Kiongozi ni Bw. IGP Simon Sirro.Mambo ya Udini yameanza tena nilijua tu!
Ukichinja mbuzi nyumbani kwako ukaalika marafiki mkala na kunywa ni sawa. Shamrashamra zenu zitaishia ndani ya nyumba bila kuleta attention nje, mbona tunafungulia mziki mkubwa majumbani siku za kawaida na hakuna anayekuja kutuuliza?[emoji23][emoji23][emoji23] sijui wale mbuzi nilioagiza na wageni kupewa mwaliko nitawapeleka wpi mjini hapa.
kama mwingine,huzuni itupate wengine!
ahahaha!
pathetic!
Wapuuzi hawa, nitashanga kihongozi atakeyemuunga mkono huyu kichaaKwa hiyo Meko anafunika kufufuka kwa Yesu! siwaungi mkono hata kidogo leo.