Hiyo bugarika na Igogo ni maeneo ya hatarish sanaaMimi nilishasema mwizi anayetumia siraha huyo ni wa kuua tu hata angekuwa mwanangu
Kuna jamaa huku mwanae alikuwa kibaka akamuonya sana ila mtoto hakusikia ila mama mtu alikuwa anamtetea sana mwanae
Mwisho wa siku mtoto dogo alidakwa mitaa ya bugarika raia tembeza kichapo mpaka dogo akafa baba mtu aligoma kabisa mwili usiletwe kwake dogo alizikwa na manispaa
Wahanga wa polisi au Panya road??Kutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
Kuna igogo bugarika mabatini nyakato sokoni njoo mpaka temeke kuna mecco mitaa ya majanini mwananchi mtaa wa susuni mahina kuna sweya hiyo mitaa ina vibaka hatari sanaHiyo bugarika na Igogo ni maeneo ya hatarish sanaa
Panya road shida umri na bangi vinawasumbuaKwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!
adriz huna huruma hata kwa Kobaaz wenzio?Mtu anayefanya uhalifu kwa kutumia silaha Ni haki yake Kuuliwa
Vingunguti unayoisema wewe ya uwanja WA ndege kumejaa viwanda na sio makazi ya watu hao panya road wapo vingunguti nnyamani,spenkoni Hadi buguruni huku ndiko sehemu wazazi wanajisifu Kwa wizi wa watoto waoKukutengua kiuno si mpaka ukae huko..!! Ukiwa unaenda airport unaweza bahatishwa nao..!!
TrueHuko watu wanakabwa asubuhi na mapema watu wanaona tu
Ova
Wakishakuua ndo wanakukamata[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nature ya Jeshi letu la Police wakija kukukamata ukiwa na silaha yoyote hata jiwe tu, wanakuua kwanza.
Issues sio kimara wala vingunguti. Je umeshakutana nap?. Personally nipo Mbezi lakini sihitaji kukutana nao sehemu yeyote Hawa watu sio poaNakaa kimara labda sababu sipo vingunguti!
Hiyo mitaa ya vingunguti kila nyumba mabinti wanajiuza na mama zao wakicheza wakisasambua kwenye magariEpuken kukaa sehemu ambazo watu wameish apo zaid ya miaka arobain ata kutoka hajawah.
Huyu sio mwizi ni Gaidi bora mwiziWezi wote ni ndugu moja Na Faiza
Wanakupeleka MochwariWakishakuua ndo wanakukamata[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna igogo bugarika mabatini nyakato sokoni njoo mpaka temeke kuna mecco mitaa ya majanini mwananchi mtaa wa susuni mahina kuna sweya hiyo mitaa ina vibaka hatari sana
[/QUOTE Angalau Igoma imetulia kidogo
ngojea panya road wakuvamie hapo kwako wambake mke na watoto wako ndio ulete huo upumbavu wako wa sheria, umeambiwa walikataa kujisalimisha, wakaanzisha mapambano, ulitaka wakamatweje? pumbavuKutokana na Mazingira ya tukio lenyewe pamoja na shuhuda ambazo tayari zimetolewa hadi leo hii kuhusiana na tukio hili, haikufaa tena kwa Jeshi la Polisi kutoa taarifa kama hii waliyotoa, ambayo inakinzana na matakwa ya Sheria za nchi hususani suala zima la Utawala Bora wa Sheria. Polisi walipaswa kukaa kimya bila kusema kitu kingine chochote kile zaidi ya shuhuda ambazo tayari zimetolewa na Wananchi wahanga.
unawezaje kumkamata mtu mwenye panga ansetaka kukushambulia?Kwa hiyo polisi haiwezi kukamata mhalifu bila kuua? Yaani vijana sita wenye mapanga imekua tabu kukamata au hawataki mambo za mahakamani! Very sad kuambiwa tu fulani panya road just like that afu unakula chuma!