Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

hamna hoja hapa, mto mada umedhihirisha wazi kabisa, kwa kuegemea upande moja, we una uhakika gani, kama kabebeshwa, em tuanzie hapa kwanza,.(sitetei upande wa wowote)

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mtu afanye vurugu aachiwe sababu tu ya kuogopa wawekezaji? Huo ni upuuzi
Kwa Tanzania ukiwa mhalifu jifiche kwenye dini au siasa utatetewa kwa nguvu zote. Kuwa mchungaji, sheikh au mwanasiasa siyo kwamba huwezi kufanya uhalifu.
 
Sehemu salama ya Gaidi ni jela, Mbowe yupo sehemu anayostahili, anapiga story na kunguni tu, hakuna mwekezaji serious anayeona Mbowe ni mtu muhimu, hizi story zenu za vijiweni zibaki huko huko kwa nyumbxxx wenzio.
Nakubaliana kuwa yupo sehemu.anayostahili. wapigania haki wote jela ndo makazi yao
 
Hakika dadangu....

Yaani dada Sky Eclat anataka tupuuze maneno yale makali toka kijana mwenzetu Mdude....huku mh.Mwenyekiti wake akishindwa KUMKATISHA....

Waswahili wananena "ukimuona mbwa juu ya bati ,ujue amepandishwa"

#KaziIendelee

Umenena kaka

Na wahenga wanasema "ukimchekea mbwa atakufuata hadi msikitini"
 
Kwa Tanzania ukiwa mhalifu jifiche kwenye dini au siasa utatetewa kwa nguvu zote. Kuwa mchungaji, sheikh au mwanasiasa siyo kwamba huwezi kufanya uhalifu.
Majambazi na watakatishaji fedha za madawa ya kulevya wamejificha huko mkuu, akina Mwingira, Gwajima, Lwakatare (Marehemu), Mbowe, Makonda na majizi ya aina hiyo, ni untouchables, ukiwagusa tu utashambuliwa na wafuasi wao vibaya mnoo
 
Hao wasio na akili ndio wanakuongoza toka 1961 mpaka leo bado wanakunyoosha na kizazi chako chote, sasa jiulize nani hana akili wewe 'mwenye akili' kuongozwa muda wote huo na asiye na akili au asiye na akii...
Hawajawahi kuniongoza mimi wala kuongoza mtu yeyote.Kuongoza ni kufanya watu/nchi kufikia malengo.

Hakuna malengo wala goals ambazo CCM imeachieve ndiyo maana hadi leo hata baada ya zaidi ya miaka hamsini ya uhuru bado Taifa linahangaika na vitu vidogo sana kama vile huduma za maji,afya na elimu.
 
Kwa Tanzania ukiwa mhalifu jifiche kwenye dini au siasa utatetewa kwa nguvu zote. Kuwa mchungaji, sheikh au mwanasiasa siyo kwamba huwezi kufanya uhalifu.
Sijasema kuwa ukiwa mwanasiasa, huwezi kufanya Makosa, mbona Sabaya yupo selo akikabiliana na kesi yake?

Tunachokataa ni Jeshi la Polisi, kubambika kesi kwa mwanasiasa, ambaye anaonekana ni "mwiba" kwa watawala, kama ambavyo ameonyesha Mbowe, kwa kupigania Katiba ya nchi

Tunalitaka Jeshi la Polisi litumie weledi katika kutekeleza majukumu yake
 
Mkuu mwendazake alikuwa na akili kama zako na nyie mkamponza na kumtia kiburi, yuko wapi sasa? Sasa mpotoshe mama pia
 
Tatizo ni kuunganisha dai la katiba na ule wembe mliotumia kwa mtangulizi na mnaotaka kuendelea kuutumia sasa kwa mama Rais
Kuna watu mnaongea kama headless chicken
 
mahakama za ccm
 
"Mama anauoiga mwingi, anawakaanga Sukuma gang"
 
Mliwahi mpotosha mwendakuzimu sasa mnataka mpotosha mama pia
 
Kafanya vurugu gani? Au na wew ndiyo walewale, ebu zitaje hizo vurugu mkuu
Rais, ambaye ni amiri jeshi mkuu, kasema subirini kwanza mambo ya katiba mpya, yeye anaanzisha makongamano (ni uasi huo). RC na DC wanasema ili kudhibiti corona tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazima, ya lazima iombewe kibali, yeye anawaita wajinga. Huoni kama hizo ni chokochoko?
 
Mbona wapenzi wa soka wanasongamana kwenye viwanja vya mpira?

Unataka kutuambia kuwa kwenye hatari ya corona ni kwenye makongamano ya Katiba ya chama cha Chadema pekee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…